CRDB wauzia wateja kadi za ATM

CRDB wauzia wateja kadi za ATM

CRDB is probably the worst bank in TZ right now,the cards are so unreliable,going to an ATM is as good as gambling.
 
nadhani hujasoma terms and conditions za kumiliki hyo kadi.
 
fanya research wewe, kurenew kadi nmb unalipia elf10, kwa hiyo elf5 ya crdb ndo imekustua? Ni charge za kawaida mkuu.

Kurenew ni bure ila kama umepoteza au kuharibu kadi ndiyo unalipia mkuu.
Kwa kuwa ni sehemu ya huduma yangu ya lazima na wao ndio waloweka muda kuexpire
 
Ungesema bank zote znauza atm card nmb ndot usisme wez halaf huduma zao mbov folen ,hela kuisha kwnye mashine kuja0kuzweka unasbiri kero tupu
 
Back
Top Bottom