Pope
Senior Member
- Dec 3, 2007
- 117
- 0
Nilishangaa nilipowekewa pesa kwenye CRDB Account na mi nizichukue huku (MAlaysia)
Nikajua kahela kenyewe ka ngama nakuwa naenda ATM kila ninapohitaji, zikatoka poa tuu baada ya kutoa mara mbili tatu naambiwa BAlance haitoshi mhhh nikashtuka
Kuuliza nikaambiwa gharama ya kutumia hii card inakata Malaysian Ringit 140 (USD 40) kwa kila unapotumia hii card hata kwa kuangalia Balance.
Duuuuuh niliishiwa nguvu si unajua dola 40 kwa mwanafunzi tena nyingi sana hizo, Nikaiweka kabatini na siitumii tena.
Nikajua kahela kenyewe ka ngama nakuwa naenda ATM kila ninapohitaji, zikatoka poa tuu baada ya kutoa mara mbili tatu naambiwa BAlance haitoshi mhhh nikashtuka
Kuuliza nikaambiwa gharama ya kutumia hii card inakata Malaysian Ringit 140 (USD 40) kwa kila unapotumia hii card hata kwa kuangalia Balance.
Duuuuuh niliishiwa nguvu si unajua dola 40 kwa mwanafunzi tena nyingi sana hizo, Nikaiweka kabatini na siitumii tena.