Mkuu JF imekuwa kama ya watoto wa chekechea tuu yaani mtu anawahi kuwa wa kwanza ku-coment atakama coment haina mahusiano na mada husika.Umewahi nini?
Umetoka nje ya mada mkuu ,tunajadili CRDB master card vs CRDB Visa cardMkuu JF imekuwa kama ya watoto wa chekechea tuu yaani mtu anawahi kuwa wa kwanza ku-coment atakama coment haina mahusiano na mada husika.