CRDB na mkwamo wa Mtandao wa Simbanking

CRDB na mkwamo wa Mtandao wa Simbanking

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
4,206
Reaction score
8,446
Wakuu hio bank kwa sasa haina Uwezo tena wakuhudumia wateja wake iko at Full, Haiwezi tena wala haiwezi kugrow tena Ukijichanganya ukaitegemea hii bank kwenye mambo ya kifedha utapaata Mkwamo hatari sana, Leo tangu Jioni mpaka muda hakuna mtandao wa Simbanking sio App wala Ussd, Ovyo kabisa, Hii bank Kwa User base iliyonayo sitaki kuamini kama Wanataka Kuiangusha Kesho ntachukua stiff decision nihamishe Vijisent vyangu
 
Hata NMB ndugu kunatatizo hili limejitokeza leo hasa mida ya jioni kwahiyo sio CRDB tu
 
Network inaonekana ipo congested, nimejaribu kupitia kwenye App yao baada ya majaribio mengi nikafanikiwa!
 
Sisi wenye account Swiss credit, Swiss bank, HSBC, Deutsch Bank, offshore tax haven huu uzi unatuhusu?
 
Kwenu tu mie kabla ya huu uzi nusu saa nimetoka fanya huduma za kibenk na crdb
 
Malalamiko ya hizi benki yamekua mengi sana.. Wahusika wajitafakari na wachukue hatua stahiki kuokoa jahazi..
 
Mi nilishajitoa unaweza kosa Dili la maana kizembe sana,mzigo unao ila kuuhamisha inashindikana
 
Wakuu hio bank kwa sasa haina Uwezo tena wakuhudumia wateja wake iko at Full, Haiwezi tena wala haiwezi kugrow tena Ukijichanganya ukaitegemea hii bank kwenye mambo ya kifedha utapaata Mkwamo hatari sana, Leo tangu Jioni mpaka muda hakuna mtandao wa Simbanking sio App wala Ussd, Ovyo kabisa, Hii bank Kwa User base iliyonayo sitaki kuamini kama Wanataka Kuiangusha Kesho ntachukua stiff decision nihamishe Vijisent vyangu
Kujeni Absa na Stanbic
 
Wakuu hio bank kwa sasa haina Uwezo tena wakuhudumia wateja wake iko at Full, Haiwezi tena wala haiwezi kugrow tena Ukijichanganya ukaitegemea hii bank kwenye mambo ya kifedha utapaata Mkwamo hatari sana, Leo tangu Jioni mpaka muda hakuna mtandao wa Simbanking sio App wala Ussd, Ovyo kabisa, Hii bank Kwa User base iliyonayo sitaki kuamini kama Wanataka Kuiangusha Kesho ntachukua stiff decision nihamishe Vijisent vyangu
Mimi mbona nimetumia zaidi ya mara mbili na mzigo nimeamisha
 
Benki za kutoka inje hasa S.A au Kenya vikoje?
SA ABSA;STANBIC,UK STANDARD CHARTERED,FRANCE BNP PARIBAS. Don't try with kenya=the same difficulties as tanza ian banks but they atleast managed to solve more difficulries than tz banks
 
Wakuu hio bank kwa sasa haina Uwezo tena wakuhudumia wateja wake iko at Full, Haiwezi tena wala haiwezi kugrow tena Ukijichanganya ukaitegemea hii bank kwenye mambo ya kifedha utapaata Mkwamo hatari sana, Leo tangu Jioni mpaka muda hakuna mtandao wa Simbanking sio App wala Ussd, Ovyo kabisa, Hii bank Kwa User base iliyonayo sitaki kuamini kama Wanataka Kuiangusha Kesho ntachukua stiff decision nihamishe Vijisent vyangu
Katika mambo huwa sielewi ni kwenda ATM na kukuta haina Pesa, saa 8 Mchana J3 au J4 ATM haina pesa, are u people serious? Mnakaa ofisi kufanya nini wakati kitu mnachotegemea kama source of fund hakifanyi kazi tena?, ATM ambayo ipo very potential location kama Soko la Samaki Ferry etc, unategemea mtawezaje ku exist in short/ long run? aisee CRDB mjirekebishe sana, mnakoelekea mtakuwa the most worse Bank in Tanzania!
 
Back
Top Bottom