Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Nimehoji hilo kuonyesha kuwa ndio malipo ya walio kazini siku kama hizo labdamkuu, CRDB wana branches zinazooperate hadi J2, achilia mbali sikukuu.
Ni kweli CRDB wamekuwa wezi, makato yamekuwa mengi mnoaisee hii kitu sijawahi kuielewa, yaani card fee na wakati huohuo kuna maintance fee na monthly bank charges. daaah
Dah kuna watu "wakatili" duniani...Hawa jamaa mi hata siwaelewagi, kuna kipindi jamaa alikuwa ananidai 20,000/= akanipa akaunti ya crrdb nimuingizie, baadae jamaa ananipigia mbona umeingiza 10,000/= na kipindi kile utandawazi hakuna ilinichukua miezi 6 kuja kumuonesha ili bps
Kila mtu ana masharti yake kwenye fedha na inabidi ukubaliane nayo kwa vile unadaiwaDah kuna watu "wakatili" duniani...
Yaani elfu 20 mpaka umuingizie benki!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo nimemlipia ada kupitia NMB hawana hiyo takataka. CRDB wana hako kamchezo.Kwani mwenye shule amekwambia makubaliano aliyonayo na CRDB-Bank PLC? Ingawa unataka kuonesha kuwa umefikia kiwango cha digital, ukweli ni kuwa bado uko analogia, tena sana. Wewe lipa tu karo ya mwanao asome badala ya kulalamikia vijimambo vidogo vidogo. Benki zote hutoza bank charges kwa huduma wanazotoa, na hii hulingana na makubaliano baina ya benki husika na wateja wake. Kwanza inaonekana ni mara yako ya kwanza kusomesha mtoto shule binafsi, na umefanya hivyo reluctantly.
Nadhani NMB ni wastaarabu zaidi ya CRDBDogo nimemlipia ada kupitia NMB hawana hiyo takataka. CRDB wana hako kamchezo.
Duuuuh!!kuna benki moja mpaka leo nguvu ya kuweka pesa imekata tamaa.nilikuwa kila siku naweka elfu 10 mpaka ishirini ndicho kiwango kupitia njia zote za kibenki mwaka mzima.mwisho wa mwaka naenda kuangalia salio nakuta laki tatu.nili %€~€%>?€!?,.
CRDB wana hako katabia. Nilipokuwa masomoni, nikienda kulipa ada kiasi chochote kile lazima nitoe 1,800 cha juu.Asante sana Sophist
ni kweli kabisa ni mara yangu ya kwanza kusomesha mtoto shule binafsi nikiwa tanzania, lakini that should not be a problem. Pili, si jambo rahisi mimi kujua makubaliano ya mwenye bank na mwenye shule, lakini ninachojua, hakuna sehemu wala taasisi ya fedha inayolipisha deposits. kimsingi wanapaswa wakushukuru kwa kuwapelekea fedha. naamini unaweza kujifunza kuhusu hili.
mwisho ingawa si kwa umuhimu, kuwa digital siyo hiyari, usisubiri mpaka teknolojia ikulazimishe kuifuata, huduma za fedha kiganjani mwako.
Jumapili njema boss
Umejibu vizuri ahsante pia.Pili, si jambo rahisi mimi kujua makubaliano ya mwenye bank na mwenye shule, lakini ninachojua, hakuna sehemu wala taasisi ya fedha inayolipisha deposits.
Itakuchukua miaka mingi kujifunza na kuelewa kwa sababu unatanguliza kutukana (upuuzi) wanaokufundisha kabla ya kuelewa.
Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.
Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki. Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.
Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima
CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu