faya
Member
- May 16, 2015
- 30
- 13
Crdb ni janga kubwa sana hasa branch zenu hizo nilizozitaja haiwezekani mfanyakazi wa serikali niombe mkopo tena nimetimiza masharti yenu yote lkn hadi sasa ni miezi saba nikifuatilia mnanipa majibu ya ovyo mara nyie mahenge hamna uwezo wa kukopesha sasa mpo hapo mnafanya nn? Mkaniambia niende IFAKARA niliyoyakuta huko ni aibu kabisa kwa loan officer kujibu kakope bank nyingine sielewi maana ya kuwa na branch ambazo hamuwezi kusaidia wateja wenu.