CRDB kuna changamoto gani?

CRDB kuna changamoto gani?

Twin Tower

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
4,907
Reaction score
7,123
Wadau mlipo kwa hii benki tusaidieni. Wikend hii mambo hayaendi.

Naona kama huduma haziendi. Tusifelishane tafadhari.
 
Weekend iliyopita nilitoa miamala miwili Kwa wakala yote ilikuwa haifiki mwisho nikaona ngoja nitafute ATM nipo njiani naona Sms za pesa kutolewa...kurudi Kwa wakala anasema kwake pesa haijaisha jasho likaanza kunitoka ..kuingia kwenye salio nimetoa laki nane ilikuwa kuvumbi ....nimekuja kupata hela yangu baada ya kutishia Sana mixer kumkaba wakala na kwenda naye benki CRDB hapana Kwa kweli.
 
Weekend iliyopita nilitoa miamala miwili Kwa wakala yote ilikuwa haifiki mwisho nikaona ngoja nitafute ATM nipo njiani naona Sms za pesa kutolewa...kurudi Kwa wakala anasema kwake pesa haijaisha jasho likaanza kunitoka ..kuingia kwenye salio nimetoa laki nane ilikuwa kuvumbi ....nimekuja kupata hela yangu baada ya kutishia Sana mixer kumkaba wakala na kwenda naye benki CRDB hapana Kwa kweli.
😀😀 ahse hii ilinikut pia week juz natoa hela simbanking kwa Cardless nakuta natoa mara mbili kumbe mtandao
Me najua nimetoa tu mara moja
Kuja kuangalia salio naon kama 200K haipo duuh niliwaza sana ahse😀 .

Ila at the End hela ilirudi
 
😀😀 ahse hii ilinikut pia week juz natoa hela simbanking kwa Cardless nakuta natoa mara mbili kumbe mtandao
Me najua nimetoa tu mara moja
Kuja kuangalia salio naon kama 200K haipo duuh niliwaza sana ahse😀 .

Ila at the End hela ilirudi
Inarudi lakini usumbufu ndo huwa unakera! Hawa jamaa tuliwasifu zamani ila siku hizi wamekuwa kama NBC Tu mtandao wao unazingua sana.
 
CRDB sim banking na e banking wana matatizo ni muda mrefu sio hata Leo wala Jana, wajitahidi kuboresha mifumo yao maake ni ttz kwa wateja
 
Ndo TZ hii, ndio maana siweki mayai yote kwenye kapu moja, unajua unaweza kuwa na pesa kwenye simu lakini ukapata usumbufu mkubwa hata kwenye kuitumia hapa TZ.
 
Tetesi kuna upigaji umefanyika...yaweza kuwa mambo ya kuwa hacked.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom