BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 574
Guys kuna ishu hapa imeniboa imebidi leo niisemee makavu laivu...hawa jamaa wa CRDB leo ni siku ya 5 system yao mbovu ya Cardless imeng'ang'ania Pesa yangu hewani..ilikuwa ni siku ya ijumaa last week nilipokuwa nahamisha kiasi fulani cha pesa kwenda Cardless then system yao ikasema request yangu haikufanikiwa nijaribu tena, ajabu ni kwamba nilijaribu mara mbili na kupata majibu yale yale ya kutokafanikiwa.!! few minutes later kucheki salio nikakuta jamaa wamekata salio kwenye akaunti yangu kwa ile transaction iliyogoma kufanyika.
Nikawapigia simu kuwauliza wale jamaa wa call center wakasema system inatatizo na hivyo pesa yangu ingerejeshwa kwenye akaunti ndani ya masaa 48...ajabu ni kwamba mpaka hivi sasa hiyo pesa hawajaresha na kila nikiwapigia simu wanaishia kusema "Pole mteja wetu kwa usumbufu suala linashughulikiwa" huu ni upuuzi pole yenu hainiletei chakula mezani...masuala yangu muhimu yamekwama ninyi mnaishia kunipa pole na kuniambia suala langu linashughulikiwa!??? mie sitaki siasa nataka pesa yangu niweke chakula mezani!! nyasi za chooni zisikauke...Pamb***...nyang'**...Serious itabidi mnilipe huu usumbufu.......mik**** ye*****u
Nikawapigia simu kuwauliza wale jamaa wa call center wakasema system inatatizo na hivyo pesa yangu ingerejeshwa kwenye akaunti ndani ya masaa 48...ajabu ni kwamba mpaka hivi sasa hiyo pesa hawajaresha na kila nikiwapigia simu wanaishia kusema "Pole mteja wetu kwa usumbufu suala linashughulikiwa" huu ni upuuzi pole yenu hainiletei chakula mezani...masuala yangu muhimu yamekwama ninyi mnaishia kunipa pole na kuniambia suala langu linashughulikiwa!??? mie sitaki siasa nataka pesa yangu niweke chakula mezani!! nyasi za chooni zisikauke...Pamb***...nyang'**...Serious itabidi mnilipe huu usumbufu.......mik**** ye*****u