CRDB Bank

Mangungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
2,405
Reaction score
3,061
Jamani mwenzeni nimeenda CRDB Bank Azikiwe Leo, kuna jamaa yangu kaniambia kuna watu wanafanya usaili, nikauliza lini walitangaza hizo chance?
Akaniambia CRDB hawatangazi nafasi za kazi bali huambiana tu kimchongo zaidi.

Sasa huyu Charles Kimei au Charles Kimeo???
Tangazeni watu tukabishane kwa hoja!!!
 
Wanauzi Sana
kuna watu sasa hv wanapiga usail
Mbili mbona wakiambiwa na hao ndugu zao kuna michongo hawatuambii sisi??
mbona sisi tunawaambia??
 


Kwani wewe umealikwa kwenye usaili na kimei au kimeo? Anyway, financiial institutions nyingi zinazingua katika ajira
 
Kwani wewe umealikwa kwenye usaili na kimei au kimeo? Anyway, financiial institutions nyingi zinazingua katika ajira

Soma vizuri post yangu
Nimeenda crdb makao makuu kumcheki jamaa yangu yuko pale
After ctor mbili tatu kaniambia kuna watu wanafanya usaili
Je nafasi walizitangaza lini??
Akasema CRDB hawatangazi kazi bali hupeana kimchongo zaidi
 
kawaida yao tushawazoea ,pale ukiwa na mtu ambae anacheo yuko pale ndani utafanyiwa mambo fasta tofauti na wale wanaoacha maombi ya kaz kwa mlinzi et atapeleka huuhuuu
 
Soma vizuri post yangu
Nimeenda crdb makao makuu kumcheki jamaa yangu yuko pale
After ctor mbili tatu kaniambia kuna watu wanafanya usaili
Je nafasi walizitangaza lini??
Akasema CRDB hawatangazi kazi bali hupeana kimchongo zaidi

nimekupata fresh mkuu
 
Jamani mwenzeni nimeenda CRDB Bank Azikiwe Leo, kuna jamaa yangu kaniambia kuna watu wanafanya usaili, nikauliza lini walitangaza hizo chance?
Akaniambia CRDB hawatangazi nafasi za kazi bali huambiana tu kimchongo zaidi.

Sasa huyu Charles Kimei au?
Hao ni wale waliokuwa interns, na nafasi za kazi walitangaziwa wao tu.
 
Jamani mwenzeni nimeenda CRDB Bank Azikiwe Leo, kuna jamaa yangu kaniambia kuna watu wanafanya usaili, nikauliza lini walitangaza hizo chance?
Akaniambia CRDB hawatangazi nafasi za kazi bali huambiana tu kimchongo zaidi.

Sasa huyu Charles Kimei au?

Jitahidi umuone Kimei hakikisha umechukuwa cheti chako cha ubatizo hicho ndio muhimu ktk ajira za CRDB
 
Huyu ni Kimeo na sio Kimei!!!
Si atangaze?? Hv makabila makubwa kama wasukuma wangekua na crdb yao si wangejaa kila ofisi???
 
Crdb= Chaga and rular development bank!!
 
Mbona Nmb wanatangaza?? Crdb leo mmeniuzi Sana!!
Nitahamasisha wateja wahame bank yenu
Kwanza mnakera hamtoi huduma bora
 
Bank ya wachaga hiyo unadhani watatangaza nafasi hile kwao......CRDB kama hili tawi la mbezi beach ndio wanakera usipime, kuna wadada wapo reception pale wanajiona kama wanafanyakazi UN, majibu ya hovyo sana

Mie nilienda card yangu ilinasa ndani, huweziamini toka mwaka jana june mpaka leo sijaipata card yangu, kila nikienda mara wanasema niandike barua, mara niende tawi nilipofungulia account, mara niombe maombi ya card nyingine yan brabrah tupu
 
Jitahidi umuone Kimei hakikisha umechukuwa cheti chako cha ubatizo hicho ndio muhimu ktk ajira za CRDB
CRDB huwa wanaprogram yao ya kuchukua interns kutoka UDSM kupitia UDEC kila mwaka, na huwa wanaajiri mwezi wa pili, sasa wakati wa kuajiri huwa wanawatangazia hahao interns...na ndio maana huwa hawazitangazi kwa public.
 
CRDB huwa wanaprogram yao ya kuchukua interns kutoka UDSM kupitia UDEC kila mwaka, na huwa wanaajiri mwezi wa pili, sasa wakati wa kuajiri huwa wanawatangazia hahao interns...na ndio maana huwa hawazitangazi kwa public.

Bwana Yesu asifiwe....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…