CRDB Bank ya hovyo kabisa

CRDB Bank ya hovyo kabisa

Nimefanya banking na international banks kwa kweli hawa jamaa wako smart sana ni zile tu hawana branches wilayani na baadhi ya mikoa hakuna branches ila kwa inshu za banking wako njema, Sasa nili shift to Nmb baada ya kuhama mkoa ambao hauna international banks niliyokuwa natumia hao NMB kadi tu ili take kama miezi miwili kuipata Yani unaenda branch hakuna mtu anajali kabisa ni ovyo ovyo
 
Hilo la kufungua account na ATM Card mbona hata NMB ndio hivyo hivyo baada ya wiki, inategemea na account unayofungua Kuna unazopewa hapo hapo na nyingine zinachukua muda

NMB mobile nao Ni mpaka uwe na hela ya vocha kwenye simu na wanaikata
Hela ya vocha inategemea na providers mfano Tigo ni free of charge ku acces hizo ussd za banks ila Voda ni Lazima ulipie ku acces izo ussd
 
Back
Top Bottom