CRDB Bank: What a terrible experience!

Wewe umeona leo? mdogo wangu aliweka fixed term deposit miaka ya 2000 mwanzoni, akasafiri, hakurudi kwa wakati, nashangaa ilipomature pesa yake badala ya kuiweka katika account yake after maturity, wakaiweka kwenye suspense sielewi kwanini, baada ya muda mdogo wangu anaenda kuulizia pesa yake IMELIWA NA MPAKA LEO NINAVOKWAMBIA TUMEHANGAIKA SANA TENA SANA ! PESA HAIJARUDI AMEAMUA KUMUACHIA MUNGU. NA NINA IMANI ATAMLIPIA KWA NJIA YEYOTE ILE. Ni pale Holland House, tumeenda kwa manager mpaka tumechoka! tena mwisho akawa anafoka , imagine ilikuwa mil 2 ya miaka 1999.

kwa nini msiende mahakamani? hakuna sababu ya kumwachi Mungu kitu kama hiki. Please PM me for details
 
Banking sector is still in growth stage, they should enjoy the benefits while it last because with entrance of Equity Bank, Ecobank and few others in the market the trend will shift. Barclays just announced to close 10 branches this year.
 
Hii si ndiyo ile benki ambayo Mkurugenzi wake anawashurutisha wafanyakazi kwenda kanisani naye kutoa shukurani? What do you expect?

Ushawajaribu Citibank? Mnyamwezi bado yupo bongo? I am sorry mara nyingine kama ndugu zetu wanatuangusha unaweka kando uzalendo.

Kuna mzee mmoja alikuwa CEO wa shirika moja kubwa la umma, NBC walim frustrate mpaka akataka kutoa hela kuzi weka Citibank.
 
Many people are mislead when they look at CRDB PLC from outside. It is a political financial institution. It has got a number of scandals and that is why a lot of government's fraudulent transactions pass through CRDB,i.e Richmond, EPA just to mention a few.

One of the principle of good lending is that "you must lend the right amount". If a customer has got a contract of say Tshs 200 million and is applying for a facility of Tshs 200 million, do not give him Tshs 50 million. You are wasting his time and causing business loss because he will fail to allocate it in his contract. What can be done to spend Tshs 50 ml in a project of Tshs 200 ml?

A good banker will approve Tshs 200 ml but will enter into a triplicate contract between you, the contract owner, and the bank.In that contract, it will be stipulated that every payment from the contract owner should pass through your account in that bank, so that they deduct their installments. So you cannot run away with their money.

But what i know is that CRDB does not have adequate cash, they always have liquidity problems. And i pressume that the source of their illiquidity stems from their tendency of massaging their profit figures. They declare profit while their interbranch accounts are not balancing. Interbranch accounts should mirror one another, but for CRDB that is not the case. So when these accounts are not balancing it means there are so many fictitiois transactions dumped there which need to find their way to P & L a/c.

I aslo know a family whose house was mistakenly sold by CRDB after some gangstars had used counterfeit documents and claimed that house to be their collateral and got a loan from crdb by colluding with some employees in 2002. Up to this moment, that family is still strungling in courts to get their house back.

One contributor has mentioned about a maturing fixed deposit account whose funds were transferred to a suspense account. What is a suspense? It is an account where accountants post figure temporarily while looking for its origin. It does not attract any penalty because you do not know what that figure relates to. But a good software will automatically return that money into your savings account because the savings account and FDR are linked together. I am saddened by that daytime theft.

Guys i have a lot to tell about CRDB and many banks in our country but this is enough for today. May be one day i will write an article on how we are being robbed by our banks in Tanzania and BoT being a teethless watchdog

I SUBMIT
You sound like a frustrated guy. Kama unajua yote haya mbona unaishia kulalama tu?hakuna channels?au umetumwa na Benki yako ya kigeni kuchafua wenzio? kifupi huu wote unaouongea hapa ni uzushi mpaka ulete proof hapa barazani.Jamii Forum sio sehemu ya majungu, tukiendelea na mwendo huu tutageuza jukwaa hili kuwa kama blogs za mipasho.Get a life!
 
554644_459444964084831_587583244_n.jpg
Huyu jamaa wa kushoto ni vipi!!
 
You sound like a frustrated guy. Kama unajua yote haya mbona unaishia kulalama tu?hakuna channels?au umetumwa na Benki yako ya kigeni kuchafua wenzio? kifupi huu wote unaouongea hapa ni uzushi mpaka ulete proof hapa barazani.Jamii Forum sio sehemu ya majungu, tukiendelea na mwendo huu tutageuza jukwaa hili kuwa kama blogs za mipasho.Get a life!

kweli hajaonesha vithibitisho
 
Sometimes I wonder when I see Kimei and other bank CEOs boasting of huge profit. These banks are ruining customers, they dont take any risk, no innovations, zero customer care and professionalism, they just sit and keep hiking their fees and rates. But trust me, time will come unfair margins will shrink and customers will walk away to other banks.

CRDB and other banks, you are very unfair to ur fellow TZ, ur contributing to the poverty of this national. Indeed our cries will not leave you safe unless you change your conduct, from junior officials to CEO, plse take heed of our lamentation.

Very true....
 
Wewe umeona leo? mdogo wangu aliweka fixed term deposit miaka ya 2000 mwanzoni, akasafiri, hakurudi kwa wakati, nashangaa ilipomature pesa yake badala ya kuiweka katika account yake after maturity, wakaiweka kwenye suspense sielewi kwanini, baada ya muda mdogo wangu anaenda kuulizia pesa yake IMELIWA NA MPAKA LEO NINAVOKWAMBIA TUMEHANGAIKA SANA TENA SANA ! PESA HAIJARUDI AMEAMUA KUMUACHIA MUNGU. NA NINA IMANI ATAMLIPIA KWA NJIA YEYOTE ILE. Ni pale Holland House, tumeenda kwa manager mpaka tumechoka! tena mwisho akawa anafoka , imagine ilikuwa mil 2 ya miaka 1999.

Kwa nini uwaachie ? mbona hiyo ni Deal kubwa sana
ANAZO DOCUMENT HUSIKA ? Waone wana sheria tu
 
kweli kuweka fedha CRDB zaidi ya FDR utaliwa haijalishi hata kama utaweka milioni mia mbili. ukilinganisha ledger/service fees zao na faida/interest zao inakula kwao. ni kweli watu wanaanza kuhamia kwenye mabenki mbadala hususani jijini dar. Mzee kimei chunguza huenda kuna mchwa unatafuna benki yako wakati huna taarifa.
 
the bank will soon decline..,....it does'nt heed the cry of its customers more and mire people are turning their back from it!
 
Nimepigwa laki tatu kwenye account yangu leo na ATM card nilikuwa nayo. Jumatatu naenda kuwawashia moto Mlimani city
 
Wewe umeona leo? mdogo wangu aliweka fixed term deposit miaka ya 2000 mwanzoni, akasafiri, hakurudi kwa wakati, nashangaa ilipomature pesa yake badala ya kuiweka katika account yake after maturity, wakaiweka kwenye suspense sielewi kwanini, baada ya muda mdogo wangu anaenda kuulizia pesa yake IMELIWA NA MPAKA LEO NINAVOKWAMBIA TUMEHANGAIKA SANA TENA SANA ! PESA HAIJARUDI AMEAMUA KUMUACHIA MUNGU. NA NINA IMANI ATAMLIPIA KWA NJIA YEYOTE ILE. Ni pale Holland House, tumeenda kwa manager mpaka tumechoka! tena mwisho akawa anafoka , imagine ilikuwa mil 2 ya miaka 1999.
Labda sio kweli,kama aliweka huhitaji kwenda mahakamani. zama bot pale iweke ishu yako utaipata siku ya pili tu.
 
Tatizo sio benk zetu bali ni bot, kwasa wanajidai wana skili sana, lakini washindwa kuona idadi ya mabenki inaongezeka lakini watumiaji wanapungua!!!! Kila zali wapo!!!@ lakini wanapeta tu. Kama bot habadiliki wanaoweka akiba na wanaotaka kukopo wataendelea kulalama
 
hata mkopo wa wafanyakazi wanaboa, unaomba mkopo ili utatue shida yako, mpaka sasa ni mwezi sasa hakuna kitu.

ovyooo kabisa. jumatatu naenda kuomba withdraw ya mkopo wangu
 
Kuna huduma yao pia ya simBanking,ni ya ovyo kinoma. Jana jioni nilizunguka ATM zote Mwanza mjini zilikuwa closed. Nikakumbuka siku za nyuma niliwahi kujiunga na huduma ya simBanking,lakini cha kusikitisha, hadi huduma hiyo nayo nilikuwa hipatikani. Sasa nijiuliza kuna maana gani ya mobile Banking? CRDB mjirekebishe.
 
hata mkopo wa wafanyakazi wanaboa, unaomba mkopo ili utatue shida yako, mpaka sasa ni mwezi sasa hakuna kitu.

ovyooo kabisa. jumatatu naenda kuomba withdraw ya mkopo wangu

mie nna mwezi wa tatu Posta hakieleweki kitu kulikoni au mikopo ya watumishi magufuli kasitisha? mabadiliko kilA mahali
 
Wewe umeona leo? mdogo wangu aliweka fixed term deposit miaka ya 2000 mwanzoni, akasafiri, hakurudi kwa wakati, nashangaa ilipomature pesa yake badala ya kuiweka katika account yake after maturity, wakaiweka kwenye suspense sielewi kwanini, baada ya muda mdogo wangu anaenda kuulizia pesa yake IMELIWA NA MPAKA LEO NINAVOKWAMBIA TUMEHANGAIKA SANA TENA SANA ! PESA HAIJARUDI AMEAMUA KUMUACHIA MUNGU. NA NINA IMANI ATAMLIPIA KWA NJIA YEYOTE ILE. Ni pale Holland House, tumeenda kwa manager mpaka tumechoka! tena mwisho akawa anafoka , imagine ilikuwa mil 2 ya miaka 1999.

Pole! Benki za huko zina-discourage watu kuweka pesa benki. Badala ya mtu kupata interest kwenye pesa alizoziweka unapigwa bank charges. Iliwahi nitokea mimi (nilipigwa charge mpaka pesa yote ikaisha)! Bahati nzuri pesa niliyoiweka ilikuwa ndogo. Kama ningetambua tabia hii nisingeziweka kabisa. Inabidi JPM awatembelee one of these days!
 
Back
Top Bottom