Ndugu zangu ni kawaida imezoeleka kwa CRDB kuajiri nafasi za bank officer katikati ya mwaka yaani mwezi july, na hii inakuwa katika zonal office, mfano last year nikiwa 2nd year.
Nimejaribu kufuatilia kama mwaka huu wameshaajili lakini sijapata information za kutosha,mwenye kujua anifahamishe kwani ni benki ninayopenda kufanya kazi na inalipa mshahara mkubwa,
regards,2014 graduate,
Nimejaribu kufuatilia kama mwaka huu wameshaajili lakini sijapata information za kutosha,mwenye kujua anifahamishe kwani ni benki ninayopenda kufanya kazi na inalipa mshahara mkubwa,
regards,2014 graduate,