Tuwe wakweli mimi sio mshabiki wa crdb plc wala Md wao. Siku zote ni amini baada ya Kimei ukweli wa crdb plc utajulikana.
Ukitaka juwa crdb plc chini ya Kimei ipo shida angalia mchezo wanafanya kwenye soko la hisa. Tangu wameingia soko la hisa wao wanacheza na tsh350-450 sina kumbukumbu ikiwa wamewahi fika hisa 500-700 tangu wapo sokon. Pia angalia hisa ya nmb imeshuka sana ipo 1800 na imewah kupanda mpaka ~3600.
Njoo kwenye ghawio ndio utachoka tzs 5 sijuw kumi wakati nmb plc mpaka ~116. Sasa ajabu nyingine jamaa kwenye soko hisa zake ndio kama hvyo ila ajabu faida anatangaza unajiuliza wanakokotoaje p&l yao.
Kingine angalia uwekezaji wao. Wao wanafungua matawi kwenye nchi ambazo ni high risk kama kongo, burundi na unawasikia wanajivunia uwekezaji wao.
Huyo ndio crdb plc chini ya Md Kimei. Ila pia ths tm wanakazi nzito kuficha mambo yao chini ya serikal ya Magufuli.