CRDB bank mnaturudisha miaka ya 90

KCB pia.

Nilienda branch ya Moro. Process ya kuwapigia simu branch yangu ya Dar mpaka watume email ya kuconfirm ilichukua saa nzima. Unajiuliza kweli hii ni sawa wakati huu wa sayansi na teke? Hata kama ni kwa security yetu, surely they can improve and do better
 
Pole sana mkuu sasa kila sehemu kuna uhakiki tu
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
Bring back alive Ben sa 8
 
Hivi ukifungua account bank si taarifa zako zinakuwa stored kwenye database!? Na kama linakuwa stored kwenye database huu usumbufu wa nini!?
 
Huu mtindo wa mtu kwenda kuchukua fedha tawi tofauti na alilofungulia account na wafanyakazi wa crdb hawampi ela hadi wapige simu kwenye tawi ulilo fungulia account ndio upate huduma huu ni usumbufu kwa wateja na kuturudisha miaka ya 1990.sasa kuna mtandao lkn mambo ni yale yale?
eh eh deposit haitoji wadau wanajaribu kuibana msije ifirisi banki...kweli tunaisoma namba
 
Huu mtindo wa mtu kwenda kuchukua fedha tawi tofauti na alilofungulia account na wafanyakazi wa crdb hawampi ela hadi wapige simu kwenye tawi ulilo fungulia account ndio upate huduma huu ni usumbufu kwa wateja na kuturudisha miaka ya 1990.sasa kuna mtandao lkn mambo ni yale yale?
Kuna haja ya Benki hii nayo kubadilisha uongozi , mtu mmoja tangu watoto hadi tunazeeka !
 
Mbona kama kuna ugonjwa ambao hatuujui siku hizi? kila kona ni vikwazo tu, Mungu shusha rehema zako.

That is one of the indicators of economic recessions - banks are running out of cash, expect more impediments
 
ha ha hiyo yote ni kazi ya sizonje
Yani hata ukishikwa na tumbo la kuhara unamlaumu Magu...wewe ni mtu wa ajabu kabisa..corrupted mindset driven by bias of un appreciation..

Nani kakwambia kuwa CRDB ni tawi la serikali...anyway inabidi mtoe majibu huko ufipa.....

Saa 8 yupo wapiii??????
 
mimi iko siku nimeenda kudraw milioni 20 kwenye account yangu wananiuliza hizo pesa zimetoka wapi kidogo niwatukane
Ushawai kuisoma bot regulation yoyote? Ushawahi kuipitia AML act ya tz? Kama kuna benki ukifika unapewa mil20 without any procedure au kyc naomba uniambie na mm nkafungue akaunti chapu
 
Huu mtindo wa mtu kwenda kuchukua fedha tawi tofauti na alilofungulia account na wafanyakazi wa crdb hawampi ela hadi wapige simu kwenye tawi ulilo fungulia account ndio upate huduma huu ni usumbufu kwa wateja na kuturudisha miaka ya 1990.sasa kuna mtandao lkn mambo ni yale yale?
Mm tatizo ninaloliona apo ni length time ...ila kujiridhisha kama ww kweli ni mkazi wa kigoma ila leo uko karagwe naona ni sahihi kabisa...siku uende benki ukute mjanja kafoji signature na kavaa lets nicab na kupewa mil20 au 50 kutoka akaunti yako then presha itakavyopanda utaona umuhimu wa kujiridhisha ulivo. Benki zote zinafanya ivo...hata taasisi binafsi mfano kununua gari japani lazma utasubiri wahakiki kama pesa imeingia kama aliyeingiza na mtu verified.... kampuni za mafuta lazma ukienda kupakia mafuta lazma wajiridhishe kama aliyeenda kupakia mafuta toka kisimani kwenda sheli ni yeye na ana vibali na je tayari kalipia cash au bank? -huu uchukua hata muda sana.

Hata wanywaji wakipelekewa bill hufanya huakiki kabla ya kurelease pesa.
Hata mitandao ya simu ukinunua line mpya hawakupi full access on spot lazma ichukue muda
Naona authenticity ni muhimu, tatizo kuu ni KUCHUKUA MUDA MREFU KUFANYA HUO UHAKIKI.
 
Ushawai kuisoma bot regulation yoyote? Ushawahi kuipitia AML act ya tz? Kama kuna benki ukifika unapewa mil20 without any procedure au kyc naomba uniambie na mm nkafungue akaunti chapu
Sasa hapa unatoa ushauri au unabwabwaja tu?
 
Hii kitu wanayo nbc mpaka kero wanakwambia ngoja tuwatumie email kuja kujibiwa nimasaa saba mbele
 
Mkuu mimi niliacha kwasbabu hyo waliniambia eti 'PICHA YAKO HAIPO KWENYE SYSTEM NENDA ULIPOFUNGULIA AKAUNTI'..
Nikaenda nikatoa ela zangu zijawahi Rudi Teeeeeeeena..

Haki ya Mungu..
 
Back
Top Bottom