simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,879
Ni usumbufu kwa mteja waangalie means nyingine lakini sio kwa utaratibu huo kwani ni hatarishi pia kwa mteja ikitokea mmoja wa watumishì wa crdb sio muaminifu na kuniungia zengwe nje ya bank.Mkuu hiyo ni for your own security. Na hasa kama una draw zaidi ya million 5. Na mara nyingi hufanya hivyo kama account yako haina mazoea ya kutolewa hela sehemu zaidi ya ulipofungulia.
Ukifanya transactions kama hizo zaidi, basi wanakuwa hawafanyi tena hivyo.
Vumilia mkuu.
Kwa utaratibu huo inatia hofu na shaka kwa mteja.