Kwa mtazamo wangu mimi binafsi naona utaratibu ule sio mzuri kabisa kumuuliza mtu his personal details mbele za watu na pia kupoteza muda mrefu kuhudumia mteja mmoja labda ungetengenezwa utaratibu mwingine mzuri wakuhudumia wateja kama hao ili kuokoa muda na usiri wa taarifa binafsi za wateja.