BEST 001
Senior Member
- Nov 14, 2021
- 192
- 372
Niliwakimbizaga sana advance pale hge pandahill sikuwahi toka wa kwanza na hata tabia zangu nikiwa darasani ni tofauti kabisa na bwenini dorm mimi ni bonge la businessman kuuza chakula tu na vitu nje jiwe la kutosha sana nilikusanya ebhanae si ma snitch wakanichoma kwa bochu asee ndo nikagundulikaga huyu jamaa ni nyokaa 😂😂😂 walinipiga sana watu wangu wa pandahill wanaelewa show zao na mpka zile zawadi za kuwa wa kwanza walininyimaga 😂😂😂 asee ila nashukuru Mungu hawakunifukuza maana wangetoa kijiti 😃😃😃~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught; thank God I was not part of the two.
~ You used my camera to take photos of your sleeping friends, especially when they were drooling and posted it on the announcement boards.
~ Used to sneak out of school all the time as a day student and buy foodstuff that were all contraband.
~Would go to the dining hall before the lunch bell goes.
~ Used to write lyrics of the artists of your preference. (remember 2Pac, Bob Marley?)
~ Ulizoea kujiandikia barua ili uonekane wewe ni mpokeaji mzuri wa barua.
~ Ukitumiwa EMS au TMO basi wewe unaonekana baab kubwa!
~ Kuchomekea shati ilikuwa kero kwako, ulifanya hivyo wakati wa kukaguliwa Jumatatu baadaye 'unapiga chini'.
~ Kufua soksi ilikuwa kero sana kwako, ulikuwa unazivaa mara 5 kwa wiki kisha unazifua Jumamosi (ukiwa na pair moja).
Hizi ni baadhi, tena nyingi ni kwa upande wa wanaume. Ladies, tell us what you used to do (crazy ones pls).