The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
- Thread starter
-
- #41
Ni kwasababu you were in LOVE...Nilishawai kuwa in love
Yaani huwa najiachiafull hadi najisahau mwenyewe
Every moment of time/every second minute,hour namuwaza lover wangu tu
i miss him every moment of time
yaani naconcentrate 90% ya maisha inakuwa ni love
thats why hata yanapofikia mwisho huwa najiuliza sana nikwa nini maana nilitumia effort na energyzote kumwili na kiroho kujenga hayomahusiano
Teamo labda kama unataka ku-translate kutoka Kiingereza cha Oxford kwenda cha Cambridge..hapa tatizo langu kuu ni vingeredha tu...!
saa sijui nachangiaje hii mada...!ngoja nitafute dikshenare
tuta hakikisha angel ka lala .... then...Thanks indeed....Don't forget strawberries as well love and angel as should be included on the anniversary..
Swahiba yaseme tu, ila ile stori ulivyomwambia jamaa kuwa umekimbizwa hospitali sitoisahau jamaa akaacha kazi zake..lolThe Finest uzi mzuri sana, nimejikuta najichekea peke yangu...
Kiukweli sina hakika kama kuna ambaye atakuwa hajafanya Crazy things when he/she is in real love.. Mengine ya aibu swahiba hayafai kuandika humu lol... Ila yapo mengi...
hapa tatizo langu kuu ni vingeredha tu...!
saa sijui nachangiaje hii mada...!ngoja nitafute dikshenare
Mhhh!!! Yummy Yummy...Now you are talking... also don't forget chasing you with a plane while you are running on an air strip...loltuta hakikisha angel ka lala .... then...
Strawberries, malted chocolate, whipped cream hahahahah lol crazy things we do for love lol
Candles , passion pop wine, and romantic bubble bath with beautiful red roses on top hahaha ..
I know but you have raised the standard. You want him to be like Brad Pitt so that you could become Jolie of your kind...na maisha mazuri yanataka hivyo siku zote. Hailipi mtu kukaa kama stagnant water...by the way some of these threads contribute to our well being day in day...we smile, we joke, we relax and continue the journey without denying ourselves the good reasons of why we are living
hapa tatizo langu kuu ni vingeredha tu...!
saa sijui nachangiaje hii mada...!ngoja nitafute dikshenare
Mende banaa.....hahahaLugha ya bibi hii inawafanya wengine wapate mademu humu humu, mademu wanashoboka watu wanao bong'a ung'eng'e
Mende banaa.....hahaha
Indeed AD....positive thinking, positive outlook of life...maisha haya tuyapeleke vizuri mpaka tunapoweza.Oh' Ndahani.... That is so sweet of you.... Nimependa maneno yako on every day life... Ukiwa positive na msimamo positive... yalo kuzunguka hua mepesi walau to some extent kuliko ukiwa otherwise...
Watalaam wa saikolojia tunayajua haya
Sawa na darasani mademu wanavyo shobokea Kipanga wa Math, Kiingereza na masomo mengine.
Kwenye maisha mademu/demu huyo huyo anashobokea mtu mwingine mwenye fedha aka makuta meengi
Na wakisha shoboka kuvuliwa chupi ni rahisi tu kama unamsukuma mlevi hili lipo wazi
Lol...ndio mana nimebaki najichekea swahiba....bora mimi nilimdanganya jamaa nimekimbizwa hospital,Swahiba yaseme tu, ila ile stori ulivyomwambia jamaa kuwa umekimbizwa hospitali sitoisahau jamaa akaacha kazi zake..lol
hahaaaa mmmhhh....kwaheri!
Naona watu wanaona aibu kufunguka....Hahaha!! PJ ya kwako kali nina imani huko porini haikuwa maeneo ya Mikumi..Nimepitia Post kwa post katika hii thread, lakini hadi nafika post #53 sijaona mtu aliyeeleza 'Lively' vitu vya ukichaa alivyowahi kuvifanya katika experience ya penzi kwa mtu wake...tunaongelea literature zinazohit around the bush....too bad!
Sidhani kama mleta mada alitaka thread iende hiv, japo na yeye amekuwa carried out na wanao'derail thread!...huh!!
Mimi wakati huo nikiwa katika peak ya mapenzi nilishawahi kusafiri Kilometa 1600 kufuata penzi, nikaharibikiwa na kulala porini siku 5!...niliporudi nikakuta kibarua kimeota nyasi, enzi hizo hakukuwa na simu za mkononi, hivyo hata kuwapigia watu wa ofisi kuwa nimestuck ilikuwa haiwezekani!...Bahati nzuri nikapata kazi sehemu ingine!
Mapenzi ni kichaa full!
Ulifanikiwa kupata hilo penzi PJ?.....Nimepitia Post kwa post katika hii thread, lakini hadi nafika post #53 sijaona mtu aliyeeleza 'Lively' vitu vya ukichaa alivyowahi kuvifanya katika experience ya penzi kwa mtu wake...tunaongelea literature zinazohit around the bush....too bad!
Sidhani kama mleta mada alitaka thread iende hiv, japo na yeye mwenyewe amekuwa carried out na wanao'derail thread yake!...huh!!
Mimi wakati huo nikiwa katika peak ya mapenzi nilishawahi kusafiri Kilometa 1600 kufuata penzi, nikaharibikiwa na kulala porini siku 5!...niliporudi nikakuta kibarua kimeota nyasi, enzi hizo hakukuwa na simu za mkononi, hivyo hata kuwapigia watu wa ofisi kuwa nimestuck ilikuwa haiwezekani!...Bahati nzuri nikapata kazi sehemu ingine!
Mapenzi ni kichaa full!
Halafu bahati mbaya anatoka nje kweli halafu anagongwa na gari..lol...sijui inakuwaje maana kuna ishu zingine inakuwa kama vile unajichulia kifo chako kabisa....Lol...ndio mana nimebaki najichekea swahiba....bora mimi nilimdanganya jamaa nimekimbizwa hospital,
kuna mdada mmoja jirani yangu aliwahi kumpa mtu simu apige kwa mumewe amwambie kuwa kagongwa na gari na amefariki palepale...ni story ndefu ila baadae tulimuuliza mdada kwanini alifanya vile anasema ni kwaajili ya upendo alionao kwa mume wake... TF hiyo nayo twaiitaje? Manake kuna Crazy things nyingine waweza fanya ukajikuta wamtoa mwenzio roho ati..