"CRAZY Things We Do For Love"...



hahaha.... My marriage is on the Rocks... and I was hoping B' ana maanisha nianze kujigonga kua ni mtaalam wa kuepusha u lonely in a man.... hahahaha... Basi tena ngoja tu nikambembeleze baba watoto.
 
hahaha.... My marriage is on the Rocks... and I was hoping B' ana maanisha nianze kujigonga kua ni mtaalam wa kuepusha u lonely in a man.... hahahaha... Basi tena ngoja tu nikambembeleze baba watoto.
ndomana nakwambia niPM,haya ya kutamkia kadamnasi eti....'my marriage is on the rocks'....inahusu?,mwone!
 
ndomana nakwambia niPM,haya ya kutamkia kadamnasi eti....'my marriage is on the rocks'....inahusu?,mwone!


hahahaha..... Ndio unitukane?? Ukiona hivo ujue sio kweli....lol... Basi tu umeniboa kusema wewe ni survivor you don't need a partner... (seriously who does not need one?) Nipo katika ile stage of marriage where nothing can go wrong... yote majaribu tumepita na tumemaliza....lol
 
CCM hoyeee,
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
 
hahahaha.... Kwa hiyo nikiharibu cv kwako uanaona sio mbaya? mimi I still want us to be friends... Hilo ndo ninalo preserve... BTW B' mbona leo waniita saana PM kuna nini?

ADII, usikubali kwenda chemba, B' ni nyonya damu.
Don't say i didn't warn you!
 

smile commeny yako inanigusa sana sometimes you can think day and night with no spesific answer
love is real unpredictable
 
My sister had to hire a man to approach her husband mistress, na alifanikiwa, the guy was so handsome and the girl couldnt resist him, mapenzi yao yalipokolea kabisa kiasi cha kukumbatiana na kukiss hadharani, akamwambia yule kaka waende mahala kwa dinner na yeye akamwambia mumewe anataka kumpa taarifa muhimu ya furaha anataka amtoe dinner,walipofika pale wakawakuta wale wako na mabusu na nini na kijana alivyoona vile akazidisha mahaba, yaani it was like movie,fun enough dada alikuwa kweli ana habari alikuwa mjamzito,akamwambia jamaa akajifanya kufurahia, huku kila saa anaangalia pale na kutuma msgs, hajawaahi kumwambia jamaa kama amefanya vile na sasa miaka imepita yuko happy na mumewe, naona jamaa aliona sasa hii ya kuwa na mabibi wala siyo deal kivileee

Oooo Yes she did crazy staff,isnt it?
 
come on,mwaga razi Asha,tupe mfano mmoja wa crazy act ukiwa ndani ya maloveeee!
mi nikimpenda mwanamke shurti nimtwange kama sio nyumba basi angalao ka harrier,hata kama mwenyewe sina nyumba,chezea Bishanga wewe!

Bishanga Abashaija a.k.a Mr Banana man a.k.a Bepari la kihaya! Eti nasikia we ndie Muzamir Katunzi au ni ndugu yako tu???
 
Duh!! Aisee si mchezo...wapo wachache sana wa namna hii...
 
Nilikua sijaona hii thread. Hivi tunaruhusiwa kutaja vingapi? Coz wengine ni craziness throughout, wanajitambua after breaking up. lol
 
Nilikua nampenda sana, nikapata matatizo ya kiafya ambayo yaliniweka katika hali ya kutoweza
fanya sex bada ya kua prohibited kwa miezi sita. sababu tulikua twapenda sana kukutana kimwili nikajua
huo utakua mtihani kwa mpezi wangu. I was so naivu na mjinga wakati huo nikadhani I was the speacial
one na haangalii wanawake wengine ila mimi tu. nikatafuta rafiki yangu ninae mpenda a sex na huyo mpenzi wangu kwa miezi mitatu hio. nikiamini ni mwaminifu hatathubutu kutongoza wengine na atavumilia hadi mimi nimruhusu.
sasa that nimekua ndio naona how stupid and crazy I was!
 
Ashadii, natamani ningekuwa kama wewe kwamba ukishafanya hujutii, kusema ukweli mie kuna kitu nilikifanya yani najuuuutaa, kila nikikumbuka natamani siku zingekuwa zinarudi nikarekebisha ile hali, mana hata siamini ilikuwaje nikaruhusu hali kama hiyo itokee yani natamani kujitia makwenzi kama hiyo ingesaidia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…