nyie kila mtu mkorogo acheni zenu...mkorogo uko wapi hapo?
haya tena makubwaIla wanaume tumebaki wachache sana... Wengi photocopy
acha upimbi ulikuwa unatafuta nini sasa humu!acha kujitia ujuaji......kuanzisha topic kama hii JF ni kudhalilisha wanaJF. Si kila ishu ya facebook inafaa hapa. Tanzanians GROW UP MEN!
Mambo ya Cameroon hayo.wanaume tumebaki wa kuhesabu.
wangewajua wazazi wake kwanza ndo wangesema mkorogo au majaaliwa.....sisupport mkorogo ila kutokupaka au kupaka mkorogo si kigezo cha uanaume!kuna shoga anaitwa bilal kinondoni hapaki mkorogo ila anapumuliwa kisogoni!and f.y.i huyo CP ni smart gangster,mtoto wa kihuni miaka mia nane usimpimie kimuonekano.....
wangewajua wazazi wake kwanza ndo wangesema mkorogo au majaaliwa.....
E bwana kama jamaa kapiz alivyomshika huyo dada,hivi ni mange huyu au mona kafanana na wa u-turn?
I agree.
Ila ile sehemu ya mwanzo kabisa with the robe...hell no!
Whether it's the robe itself or how he ties it, some's not right with the final look.
Wewe nawe mwongo sema unamlavu mwenyewe sio new song yake, hamna lolote hawa jamaa hawana furture
Watu wengine bana ..
we unajua mi na penda na sipendi kipi??
Tangu line we unajua future ya mtu ..
usijifanya unajua maisha ya wengine kumbe huna lolote..
Huh! I've never seen you tell anybody off!
acha upimbi ulikuwa unatafuta nini sasa humu!acha kujitia ujuaji......
sisupport mkorogo ila kutokupaka au kupaka mkorogo si kigezo cha uanaume!kuna shoga anaitwa bilal kinondoni hapaki mkorogo ila anapumuliwa kisogoni!and f.y.i huyo CP ni smart gangster,mtoto wa kihuni miaka mia nane usimpimie kimuonekano.....
Hivi unhusika vipi hapa? maana naona unamtetea kweli... alafu unakaa kinondoni. mmhhh?nimegundua watu wenye sura mihogo wanakuwa kandia sana kwa wakali waliojaliwa muonekano!!!!!hiyo picha angekuwa mwanamuziki 20% au mrisho mpoto, mambwiga wangemtetea ila kwakuwa CP mauzo mia kimtindo ndo maana....
Hivi unhusika vipi hapa? maana naona unamtetea kweli... alafu unakaa kinondoni. mmhhh?
Watu wengine bana ..
we unajua mi na penda na sipendi kipi??
Tangu line we unajua future ya mtu ..
usijifanya unajua maisha ya wengine kumbe huna lolote..
yaaani..mtu asisafiri kidogo akabadilishwa na hali ya hewa ya huko,baasi ishakuwa formula kuwa ni mkorogo...khaa!! Wala hana u-cameroon..ukitaka kuamini mlengeshee girlfriend wako au dada yako uone...