Tujiongeze kwa kusoma wenyewe kujiepusha na hofu zisizo za lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka, katika sayansi hakuna neno kujiongeza, kila kitu lazima ukifanyie utafiti kwa kutumia kanuni za kisayansi kabla ya kukitoa kwa ajili ya matumizi.Virus wanabadilika kulingana na mazingira walipo.Waulize hao wazungu unaowaamini wakwambie.Ndio tatizo letu waafrika,huwezi kujiongeza kwa elimu uliyonayo na unasimu kutukana lkn hutafutii maafrifa
Sent using Jamii Forums mobile app
110 with 3 deaths vs 20 with 1death, nani anayepotosha rais wao?Sasa hapo umetoka nje ya kujadili mada kitaalam umeingia kwenye mipasho, mnampotosha sana rais wenu huko.
na yanayoendelea Kenya?Wewe ndio uwe na mtazamo chanya kujitambua.
Unafikiri SA ni kama Tanzania???.
Muingiliano wa wazungu na SA ni mkubwa na ndio maana kukawa na athari ya haraka.
SA ni ulaya ya Afrika,soma historian uone wanaoishi pale ni raia wa kigeni wa nchi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma juu hapo au nikuongezeeKaka, katika sayansi hakuna neno kujiongeza, kila kitu lazima ukifanyie utafiti kwa kutumia kanuni za kisayansi kabla ya kukitoa kwa ajili ya matumizi.
Je wewe umefanya tafiti, au umesoma utafiti wowote, au umeamua kujiongeza?, tafiti za kisayansi zinafanywa na yeyote yule, wacha kuwataja wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
GoodSISI SIO WAO..
sisi tutafanya mtihani wetu na wao watafanya mtihani wao..
TUACHE KUPEANA PANIC TUTULIE TUONE UPEPO UNAVYOKWENDA..
Tukikurupuka TUTAZAMA KWELI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bado unailinganisha Kenya na Tanzania bro ktk michakato ya Kiuchumi na mahusiano yake na Ulaya?
Naomba tafiti yoyote ya kisayansi iliyothibitishe haya maneno yako, weka link" tujisomee wenyewe Tafadhali.
Tafadhali tuwekee link ili tujisomee wenyewe, hata virusi vya UKIMWI pia vinaathirika na hali ya joto, unaona jinsi vilivyoichachafya Africa?, virusi vyote duniani havihimili joto, lakini Ebola, Ukimwi, Dengue, vimekita makazi yake Africa.Do viruses survive in cold or hot weather?
There's a seasonality to many viruses. Flu and cold viruses tend to peak in winter months, then die down with warmer weath
Wazungu hao labda utawaamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo mna maabara tano za kupimia corona.Ninazozifahamu hadi sasa
- National Influenza Center
- Kenya Medical Research Institute (Kemri)
- Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) kule Eldoret
- Tawi la Kemri Kisumu pia
- Na sasa Mombasa pia wamewezeshwa.
Kwa kifupi zimezagaa mikoa yote, hatutegemei sehemu moja.
Kenya ina maabara mbili tu, na zote zipo Nairobi.Kwa iyo mna maabara tano za kupimia corona.
But somebody said you have one or two i guess, from your ministry. I even read a thread here.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo mna maabara tano za kupimia corona.
But somebody said you have one or two i guess, from your ministry. I even read a thread here.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka ushahidi kwamba zipo zaidi ya mbili, huyo Gavana amezungumza juzi, Leo ni siku ya 3, inamaana hizo zilizoongezwa zimeongezeka Jana?Zilianza mbili ila zikaongezwa kadiri muda ulivyokwenda, na bado wanatazamia kuongeza zaidi ikiwemo kufanya random tests hata kwa watu wasiokua na tatizo.
Sikuamini, jana nimemsikia waziri wenu na koinange sijui, akisema hivyo, zimeongezwa lini wakati jana ndio mmeanikwa hamna maabara zote hizo buda.Zilianza mbili ila zikaongezwa kadiri muda ulivyokwenda, na bado wanatazamia kuongeza zaidi ikiwemo kufanya random tests hata kwa watu wasiokua na tatizo.
Wewe upo sahihi,la msingi ni kujihadhari kwa kuwa tatizo lipoHuyu kirusi ni mjeuri sana. Pengine anapima kwanza jamii anaingia na kutoka kisha kurudi na nguvu mpya. Tuzingatie tahadhari sana jamani
Achs urongo. Soma post #112.Zilianza mbili ila zikaongezwa kadiri muda ulivyokwenda, na bado wanatazamia kuongeza zaidi ikiwemo kufanya random tests hata kwa watu wasiokua na tatizo.
Coronaviruses are a group of related virusesthat cause diseases in mammals and birds. In humans, coronaviruses cause respiratory tract infections that can be mild, such as some cases of the common cold (among other possible causes, predominantly rhinoviruses), and others that can be lethal, such as SARS, MERS, and COVID-19. Symptoms in other species vary: in chickens, they cause an upper respiratory tract disease, while in cows and pigs they cause diarrhea. There are yet to be vaccines or antiviral drugs to prevent or treat human coronavirus infectionsTafadhali tuwekee link ili tujisomee wenyewe, hata virusi vya UKIMWI pia vinaathirika na hali ya joto, unaona jinsi vilivyoichachafya Africa?, virusi vyote duniani havihimili joto, lakini Ebola, Ukimwi, Dengue, vimekita makazi yake Africa.
Ila kama una ushahidi kwa haya unayosema, Tafadhali weka link ili tujisomee na sisi tupate kujifunza kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app