LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,106
- 27,085
Naliona anguko la shule za English Medium Tanzania.
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile
1. Uhaba wa fedha: Wazazi wengi wataishiwa fedha na hivyo kushindwa kumudu gharama za kuwasomesha watoto wao kwenye shule za English Medium
2. Tukio la kustukiza la Corona limewafundisha watu wengi Somo moja kubwa Sana kwamba maisha yanaweza kubadilika wakati wowote na hivyo ni muhimu kuwa na akiba ya pesa na chakula cha kutosha wakati wote ili linapotokea tukio la dharula kama hili la Corona basi wasi hangaike.
Kwa hivyo basi Wazazi wengi wataanza kuona umuhimu wa kujiepusha na matumizi makubwa ya pesa yasiyo ya lazima.
Kutumia Milioni 5 Kwa mwaka kumsomesha mtoto kwenye shule ya kiingereza ili upate fahari ya kusifiwa mtaani kwenu unamsomesha mtoto wako kwenye shule ya mamilioni wakati ungeweza kumsomesha kwenye shule ya kayumba halafu ukamfanyia thoroughly and extensive academic management Kwa gharama kidogo ni.matumizi ya pesa yasiyo kuwa ya lazima.
Kulipa mamilioni kwenye English Medium ili Tu uone fahari mtoto wako aki kuiteni " Daddy and Mom" au akijua kutumia You Tube at age 3 ni matumizi mabaya ya fedha cause hivyo vitu hata watoto wa shule ya kayumba wanaweza kufanya.
Kama ni kuongea kiingereza hata Tid na Q chila wanaongea kiingereza Lakini hawakusoma English Medium.
Matter of fact TID who went to Kayumba speak better and fluent English than P. Funky Majani who went not only to an English Medium School but to an International School of Tanganyika.
So Watanzania wengi wataanza kuji budget now.
3. Kwa sababu ya conspiracy theories nyingi kuhusu Covid 19 kuna kundi kubwa Sana la Wazazi ambao wame subscribe into the theory . Na Kwa sababu ya hofu dhidi ya theories mbalimbali kuhusu Covid kama vile ID2020, 5G etc Wazazi wengi wamekata tamaa and they be like kama Mambo yenyewe ndio haya there is no hope for the future, kuwasomesha watoto English Medium ni kupoteza pesa Tu bure na kujistress.
4. Lipo kundi kubwa la Wazazi ambao lime subscribe kwenye nadharia kwamba tukio la covid 19 ni ishara ya kukaribia kurejea Kwa masiha. Rejea ishu ya Id2020 ilitabiriwa kwenye ufunuo. So they will be like hakuna umuhimu wa kutoa mamilioni shule za kiingereza wakati there is no hope for the future.
5. Lipo kundi la Wazazi ambao walikuwa wanawapeleka watoto wao shule za English Medium kwa sababu ya mkumbo huku wakiumia so watatumia tukio la covid 19 kama excuse ya kuwatoa watoto wao from St schools na kuwapeleka kayumba.
Wamiliki wa shule za English Medium jiandaeni kisaikolojia
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile
1. Uhaba wa fedha: Wazazi wengi wataishiwa fedha na hivyo kushindwa kumudu gharama za kuwasomesha watoto wao kwenye shule za English Medium
2. Tukio la kustukiza la Corona limewafundisha watu wengi Somo moja kubwa Sana kwamba maisha yanaweza kubadilika wakati wowote na hivyo ni muhimu kuwa na akiba ya pesa na chakula cha kutosha wakati wote ili linapotokea tukio la dharula kama hili la Corona basi wasi hangaike.
Kwa hivyo basi Wazazi wengi wataanza kuona umuhimu wa kujiepusha na matumizi makubwa ya pesa yasiyo ya lazima.
Kutumia Milioni 5 Kwa mwaka kumsomesha mtoto kwenye shule ya kiingereza ili upate fahari ya kusifiwa mtaani kwenu unamsomesha mtoto wako kwenye shule ya mamilioni wakati ungeweza kumsomesha kwenye shule ya kayumba halafu ukamfanyia thoroughly and extensive academic management Kwa gharama kidogo ni.matumizi ya pesa yasiyo kuwa ya lazima.
Kulipa mamilioni kwenye English Medium ili Tu uone fahari mtoto wako aki kuiteni " Daddy and Mom" au akijua kutumia You Tube at age 3 ni matumizi mabaya ya fedha cause hivyo vitu hata watoto wa shule ya kayumba wanaweza kufanya.
Kama ni kuongea kiingereza hata Tid na Q chila wanaongea kiingereza Lakini hawakusoma English Medium.
Matter of fact TID who went to Kayumba speak better and fluent English than P. Funky Majani who went not only to an English Medium School but to an International School of Tanganyika.
So Watanzania wengi wataanza kuji budget now.
3. Kwa sababu ya conspiracy theories nyingi kuhusu Covid 19 kuna kundi kubwa Sana la Wazazi ambao wame subscribe into the theory . Na Kwa sababu ya hofu dhidi ya theories mbalimbali kuhusu Covid kama vile ID2020, 5G etc Wazazi wengi wamekata tamaa and they be like kama Mambo yenyewe ndio haya there is no hope for the future, kuwasomesha watoto English Medium ni kupoteza pesa Tu bure na kujistress.
4. Lipo kundi kubwa la Wazazi ambao lime subscribe kwenye nadharia kwamba tukio la covid 19 ni ishara ya kukaribia kurejea Kwa masiha. Rejea ishu ya Id2020 ilitabiriwa kwenye ufunuo. So they will be like hakuna umuhimu wa kutoa mamilioni shule za kiingereza wakati there is no hope for the future.
5. Lipo kundi la Wazazi ambao walikuwa wanawapeleka watoto wao shule za English Medium kwa sababu ya mkumbo huku wakiumia so watatumia tukio la covid 19 kama excuse ya kuwatoa watoto wao from St schools na kuwapeleka kayumba.
Wamiliki wa shule za English Medium jiandaeni kisaikolojia