Course za afya za kusoma mwaka 2025 zenye uhitaji serikalini

Course za afya za kusoma mwaka 2025 zenye uhitaji serikalini

Secret person

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
334
Reaction score
795
Habari wadogo zangu Kwa wale waliomaliza mwaka huu waliosoma PCB &PCM naomba niwaelezee course ambazo zinahuitaji mkubwa sana Kwa upande wa afya serikalini Mimi ni mtumishi wa afya nitakushauri usome hii kama unahuhitaji wa ajira wa haraka serikalini au private.

1.physiotherapist
2.Radiology
3.Biomedical engineering
4.DDS
5.Clinical Nutritional(muundo mpya chini ya MCT bado)
6.Audiometry(muundo bado)
7.Clinical psychology(Muundo bado)
8.Occupational therapy
9.Optometrist
10.Public Health(Degree Haina muundo)
11. Psychiatric degre.(muundo mpya haujauhishwa)
12.Anaesthesia.
13.Health record
Hizi course Zina uhaba mkubwa sana serikalini japo wanaosoma waelewe nyingi hazijawa na muundo mpya wa mshahara serikalin


Hizi course Zina uhaba mkubwa wa watumishi serikalini japo changamoto yake kuna baadhi bado hazijawa na muundo na hazijawekewa mishahara tutarajie hivi karibuni.

Course nyingine ambazo bado zinahuitaji japo watu wanaongelea kwamba mtaani wako wengi lakini bado wanahitajika Kwa wingi.
1.Nursing
2.Medical Doctor
3.phamacy.
4.medical laboratory.

Kuna watoto wanakimbilia kusoma Hizi course wakitegemea kwamba ni coourse za afya nawashauri wajiandae kisaikolojia Hizi course sio za afya .
1.Bachelor of science laboratory and technology
2.Molecular biology
3.Microbiology
4.Medical physics.
5.laboratory science
6.Fodd science

Hazina muundo wa mshahara katika sekta ya afya.

HITIMISHO NAOMBENI MUWASHAURI WADOGO ZENU WASOME COURSE ZENYE MIUNDO YA UTUMISHI KAMA WANA MPANGO WA KUAJIRIWA MAPEMA.
 
Mzee hayo makozi uliyotaja hata Demand yake sio kubwa sana kwa soko soko kiasi hicho bado tuna mafacility mengi tu hayana hawa watu na hata GVT haijari zipo DH kibao zina Radiographer wawili tu na hata hakuna anaepiga kelele, hao Physiotheraoist wakiwa wa5 kwenye RRH mzigo unapigww bila hata shida kabisa huko kwenye Health Centers ndio balaa hata vifaa vyao tu hakuna

Nursing upande wa Diploma ndio wanaajiri sana kuliko Degree, Hao Pharmacy hawana tofauti kabisa na wenzao wa Laboratory kwenye Capacity wanazopewa kipindi cha Ajira tena wakat mwingine naona hata Lab wanakuwa na Idadi kubwa kuliko hao Pharmacy!!
 
Mzee hayo makozi uliyotaja hata Demand yake sio kubwa sana kwa soko soko kiasi hicho bado tuna mafacility mengi tu hayana hawa watu na hata GVT haijari zipo DH kibao zina Radiographer wawili tu na hata hakuna anaepiga kelele, hao Physiotheraoist wakiwa wa5 kwenye RRH mzigo unapigww bila hata shida kabisa huko kwenye Health Centers ndio balaa hata vifaa vyao tu hakuna

Nursing upande wa Diploma ndio wanaajiri sana kuliko Degree, Hao Pharmacy hawana tofauti kabisa na wenzao wa Laboratory kwenye Capacity wanazopewa kipindi cha Ajira tena wakat mwingine naona hata Lab wanakuwa na Idadi kubwa kuliko hao Pharmacy!!
So tuwaachie madogo wasome MD
 
Habari wadogo zangu Kwa wale waliomaliza mwaka huu waliosoma PCB &PCM naomba niwaelezee course ambazo zinahuitaji mkubwa sana Kwa upande wa afya serikalini Mimi ni mtumishi wa afya nitakushauri usome hii kama unahuhitaji wa ajira wa haraka serikalini au private.

1.physiotherapist
2.Radiology
3.Biomedical
4.DDS
5.Clinical Nutritional
6.Audiometry
7.Clinical psychology
8.Occupational therapy

Hizi course Zina uhaba mkubwa wa watumishi serikalini japo changamoto yake kuna baadhi bado hazijawa na muundo na hazijawekewa mishahara tutarajie hivi karibuni.

Course nyingine ambazo bado zinahuitaji japo watu wanaongelea kwamba mtaani wako wengi lakini bado wanahitajika Kwa wingi.
1.Nursing
2.Medical Doctor
3.phamacy.

Kuna watoto wanakimbilia kusoma Hizi course wakitegemea kwamba ni coourse za afya nawashauri wajiandae kisaikolojia Hizi course sio za afya .
1.Bachelor of science laboratory and technology
2.Molecular biology
3.Microbiology

Hazina muundo wa mshahara katika sekta ya afya.

HITIMISHO NAOMBENI MUWASHAURI WADOGO ZENU WASOME COURSE ZENYE MIUNDO YA UTUMISHI KAMA WANA MPANGO WA KUAJIRIWA MAPEMA.
audimetry ndo Bachelor of Science in Audiology and Speech Language Pathology ya muhas ?
 
Kwann kwa walio kwenye system ma form six sio nzuri kwao
. Upatikanaji wa ajira ni changamoto, ndo maana wengi walio fresh from school wanazikimbia.

. Sasa ukiwa kwenye system, ukienda kusoma baada ya kumaliza tu, unaludisha gamba kwa muajiri wako hapo ndo ataangalia wapi akupeleke au unaweza ku apply kazi upya serikalini kwenye kitengo tofauti na ulichonacho kwa Sasa( ingawa tu huwa kuna hasara zake hasa kwenye salary scale inaweza ikashuka au ikapanda.)
 
Iyo Physiotherapy na Occupational therapy ni course zimekuja kuteka soko la health hasa hasa wale wa health enterprenure!!
Ukimaliza hukosi kuajiriwa na kujiajiri ni rahis maana mtaji ni vifaa tu vya kuanziaa!!
Mimi nilijichanganya niko Na boda boda saivi.
 
. Upatikanaji wa ajira ni changamoto, ndo maana wengi walio fresh from school wanazikimbia.

. Sasa ukiwa kwenye system, ukienda kusoma baada ya kumaliza tu, unaludisha gamba kwa muajiri wako hapo ndo ataangalia wapi akupeleke au unaweza ku apply kazi upya serikalini kwenye kitengo tofauti na ulichonacho kwa Sasa( ingawa tu huwa kuna hasara zake hasa kwenye salary scale inaweza ikashuka au ikapanda.)
Kuna mtu alishawahi niuliza iyo ishu ivi ikitokea mtu akasoma akashushwa daraja mfano huyo atakuwa kapoteza moja kwa moja au huko mbele anaweza pata faida flani labda miaka ya mbeleni au ndo hasara tu ya kushushwa daraja
 
Kuna mtu alishawahi niuliza iyo ishu ivi ikitokea mtu akasoma akashushwa daraja mfano huyo atakuwa kapoteza moja kwa moja au huko mbele anaweza pata faida flani labda miaka ya mbeleni au ndo hasara tu ya kushushwa daraja
Ipo hivi, kwa mfano una ajiriwa kwa course ya clinical officer II, basic salary pindi unaajiriwa inaazia na 740000, take home 613000 baada ya makato yote ya serikali na pssf na pye,

Sasa hapo unakuwa unatamani usome fani fulani au unataka usomee DDS( degree of dental) , HSM( secretary service), lakini Kumbuka kuwa ili uende kusoma lazima umalize miaka mitatu kazini. Na daraja linapanda kwa waajiriwa wa kwanza ni kila baada ya miaka mitano, ila kuelekea mbele utapanda jaraja kila baada ya miaka 3.


. Inafika miaka mitano daraja linapanda, then unaongezewa Tsh 300000/- kwenye mshahara wako.

7400000 + 300000 = tayari million, bado zile annual increment, + asilimia ya ongezeko la Rais ( ukiangalia Samia ameongeza 35.1% = 153000. Kwa wale wanalipwa 370000, 492000 au wanao lipwa chini ya 500000 kwa mwenzi

Kwa mpaka miaka mitano iishe ili uruhusiwe kwenda kusoma tayari kuna asilimia za pesa rais ameongeza ,, haya unaenda kusoma Degree kwa miaka 5( Kumbuka hapa dajara halipandi mpaka umalize miaka yote 6 pamoja na intern. Wale wafanyakazi wenzio ambao wapo kazini daraja litapanda tena ataongezewa laki 300000 😅😅😅. Una maliza chuo mwenzio daraja linapanda mara ya tatu anapewa tena laki tatu 😅😅, Kumbuka tena ndani ya miaka 6 hiyo kuna asilimia za rais.


Wewe unamalizana na masomo, clinical officer uliyemuacha salary inasoma 1,500,000,


Umeludi na degree yako, unapelaka gamba unakuta sheria za utumishi zinasema Degree wa Dental mshahara wa kwanza atalipwa basic salary 1,200,000. 😅😅, hapa tayari unakuwa umeingia hasara ya kusoma miaka 6, mikopo benki kwa ajili ya kujisomesha. ( ndo maana wengi baada ya kuludi shule huwa hawapeleki magamba wanabaki nayo nyumbani tu linakuwa halina faida.

Wengi wanatumbukia kwenye huu mtego kwa sababu ya
1. Uelewa mdogo wa mfumo ulivyo wa uajiri na namna ya upandishaji madaraja.


Ili ufaidike zaidi, ukisha ajiriwa tu ludi shule chap( wengi hapa hutoa hongo ya kutosha kwa HRO/HDRO ili waruhusiwe kwenda kusoma ) ili inapofika miaka mitano tayari uwe unagamba lako mkononi, hivyo utakuwa umepiga bwingwa kubwa sana maana utapanda kwa wakati sahihi kabisa..
 
Ipo hivi, kwa mfano una ajiriwa kwa course ya clinical officer II, basic salary pindi unaajiriwa inaazia na 740000, take home 613000 baada ya makato yote ya serikali na pssf na pye,

Sasa hapo unakuwa unatamani usome fani fulani au unataka usomee DDS( degree of dental) , HSM( secretary service), lakini Kumbuka kuwa ili uende kusoma lazima umalize miaka mitatu kazini. Na daraja linapanda kwa waajiriwa wa kwanza ni kila baada ya miaka mitano, ila kuelekea mbele utapanda jaraja kila baada ya miaka 3.


. Inafika miaka mitano daraja linapanda, then unaongezewa Tsh 300000/- kwenye mshahara wako.

7400000 + 300000 = tayari million, bado zile annual increment, + asilimia ya ongezeko la Rais ( ukiangalia Samia ameongeza 35.1% = 153000. Kwa wale wanalipwa 370000, 492000 au wanao lipwa chini ya 500000 kwa mwenzi

Kwa mpaka miaka mitano iishe ili uruhusiwe kwenda kusoma tayari kuna asilimia za pesa rais ameongeza ,, haya unaenda kusoma Degree kwa miaka 5( Kumbuka hapa dajara halipandi mpaka umalize miaka yote 6 pamoja na intern. Wale wafanyakazi wenzio ambao wapo kazini daraja litapanda tena ataongezewa laki 300000 😅😅😅. Una maliza chuo mwenzio daraja linapanda mara ya tatu anapewa tena laki tatu 😅😅, Kumbuka tena ndani ya miaka 6 hiyo kuna asilimia za rais.


Wewe unamalizana na masomo, clinical officer uliyemuacha salary inasoma 1,500,000,


Umeludi na degree yako, unapelaka gamba unakuta sheria za utumishi zinasema Degree wa Dental mshahara wa kwanza atalipwa basic salary 1,200,000. 😅😅, hapa tayari unakuwa umeingia hasara ya kusoma miaka 6, mikopo benki kwa ajili ya kujisomesha. ( ndo maana wengi baada ya kuludi shule huwa hawapeleki magamba wanabaki nayo nyumbani tu linakuwa halina faida.

Wengi wanatumbukia kwenye huu mtego kwa sababu ya
1. Uelewa mdogo wa mfumo ulivyo wa uajiri na namna ya upandishaji madaraja.


Ili ufaidike zaidi, ukisha ajiriwa tu ludi shule chap( wengi hapa hutoa hongo ya kutosha kwa HRO/HDRO ili waruhusiwe kwenda kusoma ) ili inapofika miaka mitano tayari uwe unagamba lako mkononi, hivyo utakuwa umepiga bwingwa kubwa sana maana utapanda kwa wakati sahihi kabisa..
Duh aisee kwa mfano mtu ndo tayar kashaingia kwenye iyo mishe utamshauri vipi sasa akirudi asitumie tena kile cheti cha degree au ajilipue tu
 
Duh aisee kwa mfano mtu ndo tayar kashaingia kwenye iyo mishe utamshauri vipi sasa akirudi asitumie tena kile cheti cha degree au ajilipue tu
Ukienda kwa mda sahihi fresh, ila ukichelewa kusoma wewe mwenyewe tu ukifika kwa kitengo cha kupandisha madaraja lazima watakuambia ukweli kuwa ukitupa cheti cha degree mshahara wako utashuka, kwa hiyo ni wewe sasa utaamua vipi. ( uwape hivyo hivyo au uludi nacho magetoni), 😁😁😁

Ingawa hii Nuclear Microbiology na chemistry, salary scale ni wale wa PMGSS 1, 2, 3, 4, 5, 6,... .. Mara nyingi wanalamba. Asali kwenye ofisi za mkemia mkuu.) issue za DNA and RNA.


Ushauri kama umepanda daraja zaidi ya mara mbili, haina haja ya kwenda kusoma.

Ila kama upo ndani ya mda kabla hujapanda daraja, Nenda kapige shule chap.
 
Back
Top Bottom