Greatthinker47 Senior Member Sep 24, 2021 122 183 Feb 4, 2023 #1 Naomba kuuliza course hii ya Ku opperete hivyo vifaa hapo juu veta ni bei gani na unasoma Kwa muda gani? Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza course hii ya Ku opperete hivyo vifaa hapo juu veta ni bei gani na unasoma Kwa muda gani? Sent using Jamii Forums mobile app
boniuso JF-Expert Member Mar 13, 2013 681 856 Feb 4, 2023 #3 Morogoro nazan na huko geita au kahama kuna vyuo vya veta hutoa hizo kozi. Morogoro pale Kihonda ingia kwenye website ya chuo utaona hizo koz
Morogoro nazan na huko geita au kahama kuna vyuo vya veta hutoa hizo kozi. Morogoro pale Kihonda ingia kwenye website ya chuo utaona hizo koz