Clark cian
Senior Member
- Jul 3, 2021
- 153
- 139
Samahani huku kote ni kutaka kufahamu kiundani course hii inayotilewa na SUA ,hivi SUA wanahitaji point ngapi ili kuweza kuisoma hii course?
Kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu
Kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu