Msokwa1
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 470
- 511
Nimemaliza four 2015 nikafanikiwa kupata matokeo kama ifuatavyo
Physics -C
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Literature-C
Kiswahili-C
History-C
Geography-C
Civics-C
Nikawa na div 2 point 20 je! Kulingana na competition iliyopo naweza pata dip ya course ya clinical medicine kwa vyuo maarufu vya serikali kama lugalo,mhimbili n.k
Tafadhari nahitaji mchango na mawazo yenu
Nitangulize shukran
Physics -C
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Literature-C
Kiswahili-C
History-C
Geography-C
Civics-C
Nikawa na div 2 point 20 je! Kulingana na competition iliyopo naweza pata dip ya course ya clinical medicine kwa vyuo maarufu vya serikali kama lugalo,mhimbili n.k
Tafadhari nahitaji mchango na mawazo yenu
Nitangulize shukran