ahaaa..naona unataka kuniweka kwenye neema, nikimpata! moyoni nitafurahi sana!!
mweleze kabisa kuwa nitampenda kwa moyo wangu wote.
Kila anachotaka nitampatia.
Hata akitaka kwenda nchi za nje nitampeleka kwa pesa zangu.
Ninavyomjua AshaDii mkuu anachohitaji yeye ni upendo wa dhati tu... kama ni pesa... looh... sema hawajawahi kutoa list ya mabilionia wa kike tz... lazima angekuwepo
Ninavyomjua AshaDii mkuu anachohitaji yeye ni upendo wa dhati tu... kama ni pesa... looh... sema hawajawahi kutoa list ya mabilionia wa kike tz... lazima angekuwepo
Mimi Mwenyekiti wa Mahusiano natangaza couple bora ni baina ya Mwenyekiti Mimi na mke wangu Chocs
No swali.....!
We Baba V baki kuwa mfanobwa mwenyekiti na naomba uendelee kukaiimu nafasi yangu pindi nikiwa busy.
Mimi Mwenyekiti wa Mahusiano natangaza couple bora ni baina ya Mwenyekiti Mimi na mke wangu Chocs
No swali.....!
We Baba V baki kuwa mfanobwa mwenyekiti na naomba uendelee kukaiimu nafasi yangu pindi nikiwa busy.