TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
I am forced to post this kwenye jamii intelligence kwani naamini mgomo wa madaktari umesababisha huge damages to our system na hasa kwenye kulinda usalama wa raia ingawa media na serikali zinajaribu sana kufunga masikio na macho kuhusu life losses, government reputation na general risk ya spill-over effect!!
I have lost a blood relative, but one thing i know, kwenye msiba... hakuna aliyelaumu madaktari bali wengi walilaumu serikali... REALLY BAD!!
i hope kutakua na prevention kwani kada nyingine zikiingia, mapinduzi ya ufahamu yatatokea na sijui kama serikali iko tayari kutoa kafara baadhi ya watumishi wanaokula na wakubwa!!!!
THIS IS NOT "SYSTEM AT WORK" BUT "SYSTEM BEING WORKED ON"
I have lost a blood relative, but one thing i know, kwenye msiba... hakuna aliyelaumu madaktari bali wengi walilaumu serikali... REALLY BAD!!
i hope kutakua na prevention kwani kada nyingine zikiingia, mapinduzi ya ufahamu yatatokea na sijui kama serikali iko tayari kutoa kafara baadhi ya watumishi wanaokula na wakubwa!!!!
THIS IS NOT "SYSTEM AT WORK" BUT "SYSTEM BEING WORKED ON"