Cost ya kushape meno

Little Angel

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
1,212
372
Hello,
naomba kujua ni wapi naweza kumpeleka mdogo wangu akarekekebishiwe meno ya mbele maana yameota vibaya. Na je inaeza cost bei gani?
Asanteni sana.
 
Mpeleke Hospitali watamng'oa meno. Kuhusu bei watakutajia wenyewe. Nilishawah kumpeleka mtoto wa rafiki yangu,
 
Hapana hayawezi kuota menine na kama yataota asi itakua baaadae sana we tafuta tu sehem ya kumshape!!
 
Kama upo Dar Piga namba kati ya hizi uwasiliane na wahusika kwa Dr. Shabbir - 0222113689/0753077076/0222116630/0754262063.

Gharama nafikiri inategemea na nini kitafanyika. Ni process ya muda mrefu kidogo. Nilimpeleka kijana wangu pale...I am not regreating. Alikuwa anataniwa shuleni wakimwita Sungura, leo nikiangalia picha zake za zamani ni tofauti kabisa. Imempa hata confidence. Ilichukua kama miaka miwili hivi kukamilika japo sasa bado anavaa chuma kwa ajili ya kuendelea kuyaweka sawa. Yeye alianza akiwa na miaka 14. Kuna gharama za kubwa unapoanza japo huwa anaruhusu malipo as you go on. Na kuna gharama za kila unapokwenda kukutana na mtaalamu kukaza vyuma. Ana Dr mzuri sana toka Kenya aliifanya kazi vizuri.

Kila la heri
 
<br />
<br />
JE YATAOTA MENGINE MAANA ANA MIAKA 17

Kung'olewa inategemea yamekaaje. wakiamua kuyang'oa watafanya hivyo ili kutoa nafasi yanayobaki kujipanga vizuri. Ina maana hayo yatakayotolewa hayategemewi kuota tena. Huwa wanaondoa ya pembeni kwenye kona za midomo na yatakapokaa sawa wala hutagundua kama kuna meno yalitolewa. hiyo ndio njia ya kurekebisha
 
Kama upo Dar Piga namba kati ya hizi uwasiliane na wahusika kwa Dr. Shabbir - 0222113689/0753077076/0222116630/0754262063.

Gharama nafikiri inategemea na nini kitafanyika. Ni process ya muda mrefu kidogo. Nilimpeleka kijana wangu pale...I am not regreating. Alikuwa anataniwa shuleni wakimwita Sungura, leo nikiangalia picha zake za zamani ni tofauti kabisa. Imempa hata confidence. Ilichukua kama miaka miwili hivi kukamilika japo sasa bado anavaa chuma kwa ajili ya kuendelea kuyaweka sawa. Yeye alianza akiwa na miaka 14. Kuna gharama za kubwa unapoanza japo huwa anaruhusu malipo as you go on. Na kuna gharama za kila unapokwenda kukutana na mtaalamu kukaza vyuma. Ana Dr mzuri sana toka Kenya aliifanya kazi vizuri.

Kila la heri
Gharama inacheza kiasi gan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom