ndio nikija natafuta nyumba ya kupanga ,sitaki kukaa kwa ndugu zangu kwasababu mimi very independent.
naona jamani badala ya kunijibu maswali yangu mnanishambulia na kunirejeshea maswali mimi instead of giving me the idea hiyo cost of living .
sababu ya kuuliza hivyo kwasababu mimi ni mtu wa budget sasa nataka kujua nichukue kiasi gani ili nipate kuwasaidia ndugu zangu pamoja na expenditure zangu mwenyewe.kuna mtu kaniambia nichukua 500 dollar lakini nahisi haitatosha kwa miezi 4 maybe one month is enouph.
nawasikia watu kwamba maisha ni expensive siku hizi huko.
Jamani wale wataala wa bajeti msaidieni si vibaya kuwa kuplan kila kitu ...
Mie nashindwa pa kuanzia ..Nikianza na sukari mie napenda chai nadhani wakatu unaondoka uliacha kili sh 500 sasa ni 2000...
Nyama sasa nadhani kilo 4000-5000 kwa kg
Mchele huu kwa vile unapanda na kushuka nashindwa kusema
endeleeeni