Cost of living in Tanzania

Hizo zoote convertion tuuu.
rudi kwenu huna haja ya kuuliza yote hayo. mbona siye tunaishi,na hao ndugu zako waishi muda wote huo ulowaacha?????????????????
tatizo unaangalia exchange rates....
 
jamaa navyomwona ana hofu sana ya kuja home sweet home. hata avatar yake inamsuta. sijui umeshakuja, maana huu ni mwezi karibu wa saba sasa
 
ndio nikija natafuta nyumba ya kupanga ,sitaki kukaa kwa ndugu zangu kwasababu mimi very independent.
naona jamani badala ya kunijibu maswali yangu mnanishambulia na kunirejeshea maswali mimi instead of giving me the idea hiyo cost of living .
sababu ya kuuliza hivyo kwasababu mimi ni mtu wa budget sasa nataka kujua nichukue kiasi gani ili nipate kuwasaidia ndugu zangu pamoja na expenditure zangu mwenyewe.kuna mtu kaniambia nichukua 500 dollar lakini nahisi haitatosha kwa miezi 4 maybe one month is enouph.
nawasikia watu kwamba maisha ni expensive siku hizi huko.

hujamuelewa!...hio 500 ni KWA SIKU!!!sio kwa mwezi wala miezi hio minne!....wenzio ndio maana tunabaki huku...dola 500 kwa siku si bora ujenge...hehehehe
 
Unapouliza swali, saidia unaowauliza waweze kukujibu vizuri, bila matatizo na kukupa details kwa kuwapa wao details.

Unataka kuja bongo utafikia mji gani? Maana costs of living zinatofautiana mji na mji. Utataka kukaa sehemu yenye hadhi gani? Maana kupanga nyumba Oysterbay Toure Drive si sawa na Manzese kwa mfuga mbwa.

Lifestyle yako ikoje? Unajirusha vipi, mara ngapi? Mambo ya usafiri vipi, utapata au utataka ku rent au utanunua kitu kikusaidie kwa miezi hiyo minne?

Ndiyo maana "Who Cares?" kaanza kukulundikia bajeti za kuanzia Manzese Uwanja wa Fisi kwa mfuga mbwa mpaka za Kempinski kwenye kutumia $ 500 kwa siku (that was kwa siku by the way, not kwa mwezi kama ulivyomnukuu, ukifikiri kwa mwezi hiyo haitoshi hata rent viwanja vya kati tu, achilia vya Toure Drive huko).

Kwa sababu hukuitoa specifics, naamini ukienda na budget ya $ 100 kwa siku, which comes to about $ 12,000 hutakuwa katika range mbaya ingawa viwanja vya Mzee Who Cares vinavyotaka bajeti za kifisadi za $ 500 kwa siku utakuwa hugusi.

Na hapo sijagusa big ticket items mambo ya kununua gari au kiwanja kama una hesabu hizo, kama una hesabu hizo na resources ziko mkandaa unaweza kufupisha ziara ili ufanye mambo makubwa mengi, au unaweza ku relax independency yako na kubanana na ndugu wa karibu kwani huko nyumbani tunasema ndugu hawabanani.

La kama ushageuka Mmarekani na hutaki kubanana poa tu, but your $ 100 is nothing nowadays, hata nikiwapa watoto wa shule kununua ubuyu hawachelewi kuja kuniomba tena, kwamba imeisha, na nikiangalia cost of living hata sishangai.
 
Jamani wale wataala wa bajeti msaidieni si vibaya kuwa kuplan kila kitu ...

Mie nashindwa pa kuanzia ..Nikianza na sukari mie napenda chai nadhani wakatu unaondoka uliacha kili sh 500 sasa ni 2000...
Nyama sasa nadhani kilo 4000-5000 kwa kg
Mchele huu kwa vile unapanda na kushuka nashindwa kusema
endeleeeni

Maajabu ya Mussa ni kwamba dola/tshs rate ni almost stable (kati ya 1200 - 1500) kana kwamba kuna deflation.
 
Back
Top Bottom