Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,652
- 59,693
- Thread starter
- #21
Uchumi wa nchi huangaliwa kupitia GDP,sio PPP. Ama una maana uchina ipo chini ya Norway in terms of economic power?
Uchumi wa nchi huangaliwa kupitia GDP,sio PPP. Ama una maana uchina ipo chini ya Norway in terms of economic power?
Okay, Japan wako na deni inayokaribia Mara mbili zaidi ya GDP yao,pia tuseme uchumi wa Japan ni wa makaratasi?
Project nzuri lakiniMagu kasema Nyerere Dam ukiisha umeme utashuka zaidi, Tanzania kutakuwa na smart house kama us
I was referring to nominal GDP, that's tge only means through which we can determine the economic power of a country.
🤣🤣🤣I'm trying to render your mentality about the national debt as pointless
Babu, hapa hujanielewa vizuri.Ha ha ha mbafu zanguuuu
Kwa hiyo nyie ni sawa na Japan?? Na kes yenu inaizidi thamani Yen ya Japan. Basi nyie uchumi wenu uko juu zaidi ya Japan.
I was referring to nominal GDP,that's tge only means through which we can determine the economic power of a country
Key word "Economic power"
Hakuna kipimo kwenye economics kinaitwa (Economic Power)Key word "Economic power"
Na tafadhali,usireply tena
Tembelea hapa:Hapo kwa tanzania umechakachua. Unit ni tsh 350+
Let us talk about level of manufacturing in both countries.Tunaongelea facts hatuongelei propaganda kijana.
Let talk about power cost per unit.
Hiyo ni news ya 2014. hata hivyo hukuisomaUlizoweka hapo ni data za propagandaTanzania grapples with higher electricity costs
Increasingly variable rainfall has hit hydropower production in Tanzania, forcing more use of costly fuel oil – and leading to price hikes for electricity and the threat of more deforestationwww.trust.org
Anzisha thread inayoongelea manufacturing. This thread is about power cost.Let us talk about level of manufacturing in both countries.
Hapo kwa tanzania umechakachua. Unit ni tsh 350+
OkayHakuna kipimo kwenye economics kinaitwa (Economic Power)
Utapa
GNP, GDP, GNI, PPP, IDI(Inclusive Development Index)
Kwani unaeza ongea kuhusu power cost na ukose kuongea kuhusu manufacturing? Kuwa serious na uwache utoto. The reason for reducing power cost is to boost manufacturing. Lakini wewe ukiulizwa manufacturing yenu iko vipi unakuwa mkali kama mbwa koko.Anzisha thread inayoongelea manufacturing. This thread is about power cost.
Niongeze VOLUME?
Unataka kunipangia sasa cha kuongea. Kile unachofikiria wewe ni chako binafsi usiwapangie wengine.Kwani unaeza ongea kuhusu power cost na ukose kuongea kuhusu manufacturing? Kuwa serious na uwache utoto. The reason for reducing power cost is to boost manufacturing. Lakini wewe ukiulizwa manufacturing yenu iko vipi unakuwa mkali kama mbwa koko.