shabani
JF-Expert Member
- Apr 3, 2009
- 309
- 221
Mturuki toka mwaka 1975 ana KM 2600 huku sisi tutampa 1200KM ndani ya miaka hii 3.Complted projects by Yapi Merkezi
Jamaa wana hadi TBM
Mturuki toka mwaka 1975 ana KM 2600 huku sisi tutampa 1200KM ndani ya miaka hii 3.Complted projects by Yapi Merkezi
Pia sehemu kubwa ni flat,hakuna sana milima na mitoSpeed ya hii section ni kali sana, inawezekana ni kwa kua kuna kampuni 2 zinazoshirikiana kujenga Moro to Makutupora
Hahahahahaha, mad man at its best. Hivi standard Unit inasemaje vile, kwamba supplier wa rolling stock lazima ajulikane wakati ujenzi umefikia asilimia ngapi?, ni hiyo standard unayotumia ilipitishwa wapi na lini?34% na bado supplier wa rolling stock hajulikani na mnaamini it will be ready by the Nov. 2019, hawa wanainchi Vipi?
You only need to look at the progress of Nairobi Naivasha to see how a project that will be completed next year looks like now
Ila Mota Engil wako kimya sana ni kama wamewaachia Yapi Merkezi peke yao!Speed ya hii section ni kali sana, inawezekana ni kwa kua kuna kampuni 2 zinazoshirikiana kujenga Moro to Makutupora
Wapo huko sema Yapi ndio main contractorIla Mota Engil wako kimya sana ni kama wamewaachia Yapi Merkezi peke yao!
The rolling stocks have been ordered already!34% na bado supplier wa rolling stock hajulikani na mnaamini it will be ready by the Nov. 2019, hawa wanainchi Vipi?
You only need to look at the progress of Nairobi Naivasha to see how a project that will be completed next year looks like now
Moro to Dodoma ni Yapi peke yake. Hii moro Dar ndio wapo wawili.Speed ya hii section ni kali sana, inawezekana ni kwa kua kuna kampuni 2 zinazoshirikiana kujenga Moro to Makutupora
Wareno wanatoka Moro kuja Dar kimya kimya Mturuki ndio anatamba na media.Ila Mota Engil wako kimya sana ni kama wamewaachia Yapi Merkezi peke yao!
Mkuu sawa, nime-confirm , nimewaona clip wako busy maeneo ya Ngerengere wamespecialise sana kujenga madaraja....Moro to Dodoma ni Yapi peke yake. Hii moro Dar ndio wapo wawili.
Mkuu sawa, nime-confirm , nimewaona clip wako busy maeneo ya Ngerengere wamespecialise sana kujenga madaraja....
...imewekwa na mfanyakazi mmoja mzawa mpiga zege... ngoja nitakubandikia....Tunaomba hiyo clip ya ngerengere tuwaone hao motal
...imewekwa na mfanyakazi mmoja mzawa mpiga zege... ngoja nitakubandikia....
Wareno wanatoka Moro kuja Dar kimya kimya Mturuki ndio anatamba na media.
Hao wanajifurahisha tu, hapo ni kama wanacheza game ya SEGA! wachina wamekunja sura wana komaa na ajira zenu. Uhuruto wamesign mikataba mchina haondoki mpaka 2027 kwenda mbele. Mswahili akigusa mlango wa kichwa cha train tu anakula teke la shingo..Our Asst.locomotive drivers get simulation training to prepare them for the journey ahead.This is in addition to live training
View attachment 941400
Eeh hata mi Naina hivyo, wale maengineer zaidi ya 100 wanaosomea master's na PHD ya railway engineering kule China ni wakenya fake Na degree zao zitakua za uongozi... Na mchina kuwekeza $100m Ku modernise Kenya railway training institute pia ni mchezo wa pata potea, na alipoleta hii expensive simulation capsule ilikua imezeeka na inapelekwa Kwa scrap metal kule China kabla wakumbuke kumbe wanaeza wakaitupa huku Kenya shamba la takataka ....Hao wanajifurahisha tu, hapo ni kama wanacheza game ya SEGA! wachina wamekunja sura wana komaa na ajira zenu. Uhuruto wamesign mikataba mchina haondoki mpaka 2027 kwenda mbele. Mswahili akigusa mlango wa kichwa cha train tu anakula teke la shingo..
Hata ukijifunza flying lazima ucheza game ya Sega kwa kwa flight simulatorHao wanajifurahisha tu, hapo ni kama wanacheza game ya SEGA! wachina wamekunja sura wana komaa na ajira zenu. Uhuruto wamesign mikataba mchina haondoki mpaka 2027 kwenda mbele. Mswahili akigusa mlango wa kichwa cha train tu anakula teke la shingo..