BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Mimi ni Tomaso. Mpaka none au kugusa...... blaa blaa za bongo tumezizoeaMeli imeshafika inasubiria kuingia port tuu
Mimi ni Tomaso. Mpaka none au kugusa...... blaa blaa za bongo tumezizoeaMeli imeshafika inasubiria kuingia port tuu
Umerudi kuwakimbiza tena mana walishaanza kurudi, Wakunya tazameni hii video au muache Mana mtakimbia tena
Empty containers to Mombasa port!
Full containers from Mombasa port to Nairobi ICD!
LiaFull containers from Mombasa port to Nairobi ICD!
Noma sana mkuu, ila host wa kipindi anazingua, yupo fasta sn.SGR Control Centre, Double Decker Trains, etc....
SGR Control Centre, Double Decker Trains, etc....
wamepigwa na kitu kizitoJamani ndani ya uzii huu watu wamekufa nini mbona kimya hivyo?
Vipi na SGR nayo imechelewa au, nyie wakenya hamna akili hivi unadhani hapa utapita mtungi hapaHivi karibuni mlianza kuambiwa 2019, bado mnaambiwa tu mambo ya hivi karibuni. If I may ask, zile trains zilifaa zifike November zilikuja? Ama November ya Tanzania bado haijafika?
Na nyie si mpaka leo mnajenga haijafika border ya Uganda tuu mpaka leo?Hivi karibuni mlianza kuambiwa 2019, bado mnaambiwa tu mambo ya hivi karibuni. If I may ask, zile trains zilifaa zifike November zilikuja? Ama November ya Tanzania bado haijafika?
Our SGR is working, nyinyi kumaliza 200km imewashinda.Na nyie si mpaka leo mnajenga haijafika border ya Uganda tuu mpaka leo?
SGR haingekuwa imechelewa ingekuwa inafanya kazi.Vipi na SGR nayo imechelewa au, nyie wakenya hamna akili hivi unadhani hapa utapita mtungi hapa View attachment 2040566
Sent using Jamii Forums mobile app