Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hakuna secret yeyote, unless wewe ndo uko na kiwanda cha kutengeneza ndege hapo Tanzania!!!! LAkini kama ni import lazima itajulikana tu.. Ndege zote zinazoingia Africa zinakua tracked na hata zile ambazo hua zinapenya kama drones hua baada ya miaka/miezi michache siri hio inatambulika... Alafu kama ni ndege kali, nchi inayo kuuzia itataka itangaze kwamba wao ndo wamekuuzia ili wapate sifa na wateja wapya.

Ni ulimbukeni na uzembe wa hali ya juu kuamini eti nchi yenu inaweza kua na ndege nyingi zaidi kuliko zile ambazo zinajulikana. Unaweza ukaficha uko na makombora mangapi au radar za aina gani lakini hauwezi kuficha uko na ndege ngapi au za aina gani.

Unajua ni mara ngapi tumepewa fununu kwamba Kenya imepokea ndege za F-15 na F-16 ??





---------------------------------------------------
Enhanced attack and surveillance capabilities

Ongoing talks between Kenya and the U.S. should result in the Kenya Air Force buying and fielding new F-16 fighters, which would make Kenya the first country in sub-Saharan Africa to own and operate the Lockheed Martin-made jet. Such an acquisition would cap a consistent military hardware and software upgrade that the KDF has undergone since 2013.

----------------------------------------
F-16 jet
View attachment 1633211


Hadi mkuu wetu wa majeshi alishawai kuenda marekani 2014 na akaonyeshwa na akapeleka hio ndege ya F-16 kwahivyo inaonyesha kabisa kwamba Kenya ilikua inazungumza na marekani kuhusu hii ndege. Kwahivyo hautakua na wazimu kuamini hizi taarifa zinazosema Kenya ilipokea hizi ndege kisiri siri miaka michache baadae.

View attachment 1633236
View attachment 1633237

View attachment 1633238

View attachment 1633239


Kuna hii nayo
---------------------------------------------------
The KDF have acquired four attack helicopters from Russia, inlcuding Mi-28 Havoc attack helicopters. The Mi-28 is an all-weather, day-and-night attack helicopter that will serve the KDF in strategic military operations both in Somalia or elsewhere in the region. The Mi28 comes with an armored cockpit with air-to-air and air-to-ground attack capabilities.
-----------------------------------
Source: https://www.rotorandwing.com/2019/0...ilitary-might-acquisition-attack-helicopters/


Mi-28 Havoc attack helicopter

View attachment 1633212


Kuna hata picha ambazo zinaonyesha Mi-28 tatu zikiwa na bendera/insignia ya Kenya Airforce

View attachment 1633215
----------------------------------------------

Lakini hata baada ya hizo taarifa zote, hautawahi kuniona kwa forum hata siku moja nikidai eti niko na siri za Kenya na najua Kenya iko na zana kali kali za kivita kama F-15, F-16s, Mi-28......... Simply put, I'm not naive. Hizi taarifa zote ni za uongo, hauwezi ukaficha siri kama hio kwa miaka hii yote bila hata mtu mmoja kupiga picha zana hizi za kivita.

1. Kununua ndege kama hizi si pesa za madafu, kwanza unahitaji bajeti kubwa manake kumbuka kwa contract unanunua ndege na pia unalipia spare parts kwahivyo kama ndege moja ni $20 Million utakuta unalipia kama $50m ukiwa umejumlisha spare parts, training, weapon load ...etc So kwasababu ya hili, jeshi haliwezi kutumia pesa zake za ndani kununua vifaa hivi ki siri siri, wanahitaji special budget ya kununua hizi ndege... Hapa inabidi kuingiza wabunge kutenga pesa spesheli za ununuzi.... Na unajua vile wabunge wana midomo mirefu, watatoboa siri kwa wanahabari, muulize museveni pale alipokua anataka kununua Su-30 jets kutoka Russia.

2. Ni vigumu sana kuficha hizi ndege, kuna satelite ambazo kazi yake ni kuchunguza kambi za jeshi! Unafikiri akina USA, China, EU wanajuaje nchi kama Iran, North Korea wanajenga Nuclear weapons ilhali hawajakanyaga huko? Siku hizi kuna mpaka civilian radar ambazo zinafwatilia haya mambo, ukiongeza hata aircraft hanger moja tu, jamaa washapima inaweza kufunika ndege ngapi na za aina gani....


Angalia ripoti kama hii

View attachment 1633234

Chinese Navy expanding base in Africa, satellite images confirm​

May 11, 2020 Staff Writer 0
The People’s Liberation Army Navy (PLAN) has stepped up its operations at a base in Africa, as evidenced by satellite imagery.
The images show a large increase in activity and construction in Djibouti, one of several African nations that have decided to take PLA expansion seriously in exchange for infrastructure projects.
The base, which was opened in 2017, is still being constructed, and several of the piers have been undergoing construction since that time. One pier, around 1,120-feet long, was finished sometime late last year, and matches the length requirements for the Liaoning aircraft carrier and several assault ships.
------------------------



3. Ndege zote ikiwemo za kivita zinahitaji kua na transponder na pia zinaonekana kwa Civilian Radar ili zisigongane na nyengine, not unless uko vitani ama ndege yako ni stealth aircraft. Kwahivyo hata kama umeficha siri ya ndege, bado zitaonekana transponder zake na zitajulikana tu! hata kama zitapeperuka usiku.
--------------------------


4. Kuna watu wamebobeoa wanajua sauti za ndege aina nyingi sana kama vile mwanajeshi anaweza kukwambia aina ya bunduki kwa kusikiza mlio wake tu... kwahivyo hata kama unaipeperusha hio ndege yako na usiku tu, bado kuna watu wakiskia tu mlio wa engine atakwambia hio ni ndege flani na ni model ya mwaka flani..



----------------------------
Kwa kifupi isianze kunidanganya eti iko siri ambayo wewe ndo wajua au sijui information hi ni top secret... hizo ni blah blah za abunuasi
Ka African..uwezo wa kununua ndege na helicopter za kivita upo...kama tumetumia zaidi ya $300mil kununua q400s 5 ndani ya miaka mitano $500mil kununua dreamliner mbili na $200mil kununua A220s mbili..hivi vi sukhoi S30 vya dola $30mil unahisi vinatushinda...

Tukiamua kuweka budget ya dola $300mil in 5yrs tutakuwa na Su-8mpka 10 ambayo ni upgrade ya kutosha. sana na tutapita nchi nying tu..lakini sio priority ya sasa cause ndege za kivita zinahitaji maintance na pia ni liabilities sio asset kama passenger planes au other business

Tuna project nying ambazo goverment ime inject hela yake kama SGR,Stiglers, Kujenga Zonal hospitals na ku imrpove transport in Big cities
 
Unapewa evidence halafu unaiita takwimu uchwara? Nyie Wabongo huwa mnaudhi sana. Unapewa evidence halafu unaanza kukejeli evidence. Kama huna kitu cha kusema si unyamaze tu. Takwimu uchwara ndio gani? Saa zingine kudebate na nyinyi ni kupoteza muda tu.
mbona unajiongelesha kizembe sana nani kazungumzia masuala ya CCM apa.....

karibu sana uje kudanganya watanzania utatoboa kimaisha na utatupata kama wote...

hicho kitu tunachokuambia ndiyo fact hauwezi kujua jeshi la Tanzania lipo vipi hata siku moja,utaishia kuvijua hivyo vichache only ila full details huwezi kujua uache ushamba,upo empty sana kwenye masuala ya usalama ...

na chakushangaza ulivyo boya ,,haujijui kama hata jeshi lenu lenyewe haulijui hata robo zaidi ya kuishia kuropoka mambo usiyoyajua na kuishia kusoma hivyo vitakwimu uchwara nakuona kuwa umemaliza kujua vitu vilivyo ndani ya jeshi....
pole sana unapoteza mda kwa vitu usivyovijua ...
 
alisikika mlevi mmoja akiongea .....

no sense unaongea matope,upo rash sana mzee ojwani masuala ya history yalishapita ila lazima yabaki in a memory ,ndiyo maana huwa mnasheherekeaga kila mwaka masuala ya madaraka day kama mngekuwa hamthamini memory mngeanzisha tarehe mpya kila mwaka ya kusheherekea,,,,,tuachane na hayo,nilikuwa nakuonyesha vile kitu kilichopita kama kinathamani lazima kiheshimike baba atabaki kuwa baba na mtoto atabaki kuwa mtoto,hizo super power country zote unazoziona zinaheshimika kijeshi mpaka leo hii kulingana na record zao za nyuma kimapambano na hawajalala ,sasa wwwe endelea kujifurahisha eti kuna ndege sijui 70 sijui kuna ndege 30 wakati upo empty hujui masuala ya kijeshi yanaenda vipi....
Historia sio muhimu. Jambo la muhimu ni leo hii mumejihami kivipi? Armenia alishinda Azerbaijan 1990s lakini 2020 Azerbaijan ametumia drones kumshinda Armenia. Kwa hivyo historia ni ujinga mtupu. Cha muhimu ni leo hii mumejihami kivipi. Uganda leo hii wanaweza kuwapiga kama watoto wadogo.
 
Historia sio muhimu. Jambo la muhimu ni leo hii mumejihami kivipi? Armenia alishinda Azerbaijan 1990s lakini 2020 Azerbaijan ametumia drones kumshinda Armenia. Kwa hivyo historia ni ujinga mtupu. Cha muhimu ni leo hii mumejihami kivipi. Uganda leo hii wanaweza kuwapiga kama watoto wadogo.
kama historia sio muhimu mngekua na free fiza to south Africa
 
Unapewa evidence halafu unaiita takwimu uchwara? Nyie Wabongo huwa mnaudhi sana. Unapewa evidence halafu unaanza kukejeli evidence. Kama huna kitu cha kusema si unyamaze tu. Takwimu uchwara ndio gani? Saa zingine kudebate na nyinyi ni kupoteza muda tu.
tatizo mnaongea vitu msivyovijua ,evidence gani ya maana aliyoitoa,yeye mwanajeshi wa kenya au yeye ni mwanajeshi wa Tanzania..?..maana unakuja na utoto anakuambia eti jeshi halina usiri we huoni kama huyo mwenzako ni kichaa,
kama jeshi halina usiri kama kwamba anajua kila kitu kuhusu majeshi na ana evidence ajibu haya maswali madogo tu na siyo kuropoka ropoka asivyojua link hata mimi naweza kuandaa




1.Je alishawahi kutembelea military base zilizopo kenya au tanzania na kuhesabu idadi ya vyombo au vifaa vyote vya kivita. vilivyopo..?.
 
Historia sio muhimu. Jambo la muhimu ni leo hii mumejihami kivipi? Armenia alishinda Azerbaijan 1990s lakini 2020 Azerbaijan ametumia drones kumshinda Armenia. Kwa hivyo historia ni ujinga mtupu. Cha muhimu ni leo hii mumejihami kivipi. Uganda leo hii wanaweza kuwapiga kama watoto wadogo.
hapo kwenyewe kwenye kauli yako uliyoiabdika ushaitumia historia ,,unadhihirisha kuwa unaujinga wa hali ya juu,ungesoma vizuri nilichokiandika

sasa kama historia haina umuhimu kwanini umeanza kwa kutaja kuwa 1990s armenia iliishinda alzerbaijan...!
kwanini usingeenda directly kwa kusema kuwa 2020 alzerbaijan iliishinda armenia...?

wacha ujinga
 
kama historia sio muhimu mngekua na free fiza to south Africa
yaani huyu jamaa sikutegemea kabisa kama angeongea utumbo eti historia haina umuhimu wakati maisha yake yote anaishi kihistoria na maisha siku zote ni history hajielewi hata akisemacho
 
unadhihirisha kuwa unaujinga wa hali ya juu,ungesoma vizuri nilichokiandika

sasa kama historia haina umuhimu kwanini umeanza kwa kutaja kuwa 1990s armenia iliishinda alzerbaijan...!
kwanini usingeenda directly kwa kusema kuwa 2020 alzerbaijan iliishinda armenia...?

wacha ujinga
Nimetaja kuwa 1990s Armenia iliishinda Azerbaijan ili kukuonyesha kuwa historia sio muhimu. Nyie mliishinda Uganda miaka za 1980s lakini sasa hivi Uganda wanaweza kuwapiga vita kama watoto
 
Nimetaja kuwa 1990s Armenia iliishinda Azerbaijan ili kukuonyesha kuwa historia sio muhimu. Nyie mliishinda Uganda miaka za 1980s lakini sasa hivi Uganda wanaweza kuwapiga vita kama watoto
unaushahidi gani kuwa uganda inauwezo wa kutupiga...?...
halafu unaniangusha sana unaongea vitu vya kufikirika ,,,
kwanza ulisema historia haina umuhimu hiyo miaka uliyoconpare between 1990s na 2000s inamaanisha nini...?...

na what's a history..?

unasema historia haina umuhimu wakati unaitumia hiyo hiyo historia kutolea mifano..
unaujinga mwingi
 
When will Tanzania have stations like this
tapatalk_1606147038783.jpeg
 
unaushahidi gani kuwa uganda inauwezo wa kutupiga...?...
halafu unaniangusha sana unaongea vitu vya kufikirika ,,,
kwanza ulisema historia haina umuhimu hiyo miaka uliyoconpare between 1990s na 2000s inamaanisha nini...?...

na what's a history..?

unasema historia haina umuhimu wakati unaitumia hiyo hiyo historia kutolea mifano..
unaujinga mwingi
Hawa jamaa huwa hawajielewi
 
Watanzania mnaishi kwa historia. Bado mnajiona kama wakomozi wa South Africa wakati SA inawadharau....
Uganda ile nchi mlio ishinda leo hii mkaenda nao one on one watawachapa vibaya sana... You still living in the past!
Hii East Africa yote hakuna nchi inayoweza kuishinda Tanzania kwny medani ya vita,tuko na advantages nyingi sana kabla hata ya kuinua bunduki,Vita si vifaa tu vita ina uwanja mpana sana.Nilishawaambia Wakenya mnaweza kuwa na silaha nzito mwisho wa siku zikawa toys tu.Uzoefu wetu wa kivita that spirit, hiv nyie mshapigana vita yoyote baina ya nchi na nchi, Watanzania ni rahisi sana kuwaorganize kuliko taifa lolote hapa Afrika mashariki,Vita si wanajeshi tu jamii inahusika kwa kiasi kikubwa sana, Damu,chakula...nk, Geographical position inatubeba,idadi ya watu, pyramid ilivyokaa.....
 
Hii East Africa yote hakuna nchi inayoweza kuishinda Tanzania kwny medani ya vita,tuko na advantages nyingi sana kabla hata ya kuinua bunduki,Vita si vifaa tu vita ina uwanja mpana sana.Nilishawaambia Wakenya mnaweza kuwa na silaha nzito mwisho wa siku zikawa toys tu.Uzoefu wetu wa kivita that spirit, hiv nyie mshapigana vita yoyote baina ya nchi na nchi, Watanzania ni rahisi sana kuwaorganize kuliko taifa lolote hapa Afrika mashariki,Vita si wanajeshi tu jamii inahusika kwa kiasi kikubwa sana, Damu,chakula...nk, Geographical position inatubeba,idadi ya watu, pyramid ilivyokaa.....
Vita vya enzi hizo za kutumia tactics za WWII vilipitwa na wakati, Kufika Tanzania hakuna mtu atakuja kwa miguu ifact jambo la kwanza ni Dar ndo itavamiwa ya kwanza pamoja na makao makuu ya Tanzania Airforce na pale mnapoweka hanger za ndege za kivita na mafuta.

Anyway, Vita vya conventional sio lazima mkue totally defeated, Vita vya nchi kwa nchi unaweza kushinda kwa technicallity... Kwa mfano ule wakati ule kabla Uganda ivamie Tanzania. Kumbuka walitishia na walijaribu kuvamia Kenya mwanzo. Kenya ikaamua ku block mafuta na bidhaa za Uganda zinazo ingia Mombasa port kwa miezi kadhaa, Uganda ikaona ikienda vitani na Kenya watashindwa baada ya mda mchache manake watakua hawana mafuta wala supply ya maana ya kuendeleza vita... Kwahivyo tulikua tushawapiga tecnicall knockout.

Kuna nchi zengine hata zili surrender bila hata jeshi kuingia ndani, Jamaa walitumia hackers wakaharibu mitambo ya Radar,communication, power plants, banking na financial system... Jamaa walipoona nchi inaambaratika kifedha wakaamua hawataenda vitani tena..... Hivi ndo vita vya kisasa, usitaraajie eti jambo la kwanza litakalo fanywa na nchi mnayopigana nayo ni kuingia kwa mpaka wenu eti tupigane hadi kufika makao makuu yenu... Hilola kuingia na vifaru kupitia mpaka itakua ni jambo la mwisho kabisa!
 
Back
Top Bottom