komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
ccm hoyeeee!!!Machinga wanatoa ushirikiano mzuri tuu km hujui wanaosumbua wafanyabiashara wakubwa waliozoea wizi toka enzi za kikwete.
Campony au corporation.
Government corporation zinazoleta faida kuna TRC moja wapo ya corporation inayoleta faida mpk wafanyakaz wengine wanalipwa kupitia TRC unalipi lingine la kuuliza