Nilishawahi kukupa fact ya ukweli kua jua si kiumbe hai vipi ulielewa?
Nikikwambia unipe ushahidi unaosema kuto kula nguruwe ni haram kwa muislam hapo ukinipa aya kutoka kwenye kuran utakua sahihi. Hata mimi kama kuna mtu anabisha kua kuna habari zimeandikwa kwenye vitabu kua jua huzama matopeni nitampa ushahidi wa hayo maandishi ajiridhishe.
You denied a lot of things. books, angles, prophets etc, but all this the source is denying the existence of ONE GOD, so if I can prove to you the Quran is the book of ONE GOD, you will rise this n that which also I will clarify for you, but since denying the book is not the disease which you suffer from but the symptoms of the disease, then lets don't waste each other time on the symptoms while the root of problems left untouched ... lets talk about the root first ... lets talk about ONE GOD
Since your the one who dined the existence of ONE GOD then enlight us WHY SO ...
As a suggest lets talk about the real issue which drew line between me and you, the fact which you denied, the fact which is, there is a CREATOR of all these ... lets talk about that ...I denied Angels !! Are you crazy? Which angel ?
Mkuu naomba unitajie baadhi ya hao watu....Kifo ni kitu pekee atheists wameshindwa kukikana, wanaweza kukana kila kitu ila ikifika suala la kufa kwa atheists basi ndipo panapo na mvurugiko wa ukanushaji, moja ya vitu ambavyo vimeelezewa na dini hichi kifo ambacho unataka kuwaaminisha watu kuwa ni energy transformation ila bado umeshindwa kueleza wapi hii energy inaelekea. Sayansi bado changa mno haiwezi kuja na proof ya kuelezea yale ambayo dini imeyaeleza. 80 percent of Qur'anic texts has been scientifically proven to be true just 20 percent ambayo hii haijathibitishwa na sayansi kuwa ni sahihi na sio kuwa Qur'an ina error bali ni uwezo mdogo na kukosekana kwa vyombo na elimu ya kuprove.
Elimu ndogo ya sayansi ndio humfanya mtu kupinga yale yalioelezwa na dini bali elimu kubwa ya sayansi humpelekea mtu kumjua muumba wake.
Walipita wengi hapa duniani ambao walikua wakipinga uwepo wa Mungu na maisha baada ya kufa, ila wakati wanakata roho walioyatamka mpaka leo hayana maelezo.
Keel mkuu wanajazana uoga mkubwa ...Kuna kitu kinaitwa attachment. Na kuna kitu kinaitwa the denial. Hivi vitu viwili ndio vinafanya uone people are struggling a lot on death bed.
Asilimia kubwa ya watu wameaminishwa Death is never good, and kuna a lot of punishment huko tuendako matokeo yake hakuna anaetaka kufa. So when death comes, hakuna anaekikubali kimtokee kirahisi, matokeo yake soul has to leave the body forcibly , because there is no any other way. Therefore, ndiyo unaona hizo struggle.
Kwa wale ambao wamekielewa kifo, and they don’t have any fear of unknown, kifo chao kinakuwa ni kama kutoa unywele Kwenye maziwa. Very soft, kwasababu kuna kuwa na acceptance na ushirikiano kati ya body and the soul wakati wa kuachana, they complement each other.
Aidha, unasema mambo ya kunya wakati wa kufa, mbona hili linaelezeka kirahisi sana Man.
Anus Muscles zote zina relax, so kama mtu alikuwa ana kinyesi Kwenye rectum kitatoka taratibu taratibu, na ndio maana hata waislam wanaweza kukamua mavi maiti kirahisi just kwa kumpapasa papasa tumboni marehemu, kwa kufanya hivyo mavi chini yanatoka, muscles zote zimejiachia.
Wewe hapo mavi hayawezi kukudondoka kwasababu you have the control voluntarily ya ku contract na ku relax muscles zako.
Sasa nyie mtu akijinyea wakati wa kufa mnaanza kutisha watu nyie bhana,
ooh kifo kigumu mpaka anajinyea blah blah
Unakutana na mtu anakwambia Mimi sina haja ya kujifunzachochote, Quran haijaacha kitu, au biblia haijaacha kitu. Matokeo yake ndo hayo fully kutishana na myths zisizo na kichwa wala miguu.
Mkuu wavumilie ndiyo wafia dini walivyo wanapenda kuishi kwa kukana akili zao...Mmmmh !
Mungu muweza wa yote huwezi mlinganisha na viumbe vyenye mapungufu vinginevyo mungu wako siyo muweza ya yote... Pia mwalimu anapima wanafunzi wake kwasababu hana uwezo wa mungu wa kujua mambo ya mbeleni...Mwalimu darasani anakupa mtihani wa maswali majibu Anaya, Mbona humuambii acha ufala nipotezee ... Just a logic question.
Ndugu nimetoa mfano sijalinganisha ... mfano wa hali 'situational', ninapo sema mathalani utawala wa 'X' ni sawa na utawala wa 'Y' nilicho fananisha hapa ni uatawala na siyo 'X' na 'Y'. MUNGU MMOJA HAFANANI NA YOYOTE WALA CHOCHOTE, Lakini MUNGU MMOJA anaona,Mungu muweza wa yote huwezi mlinganisha na viumbe vyenye mapungufu vinginevyo mungu wako siyo muweza ya yote... Pia mwalimu anapima wanafunzi wake kwasababu hana uwezo wa mungu wa kujua mambo ya mbeleni...
Sasa kama anatoa mitiani kama mwalimu anakuwaje tofauti?Ndugu nimetoa mfano sijalinganisha ... mfano wa hali 'situational', ninapo sema mathalani utawala wa 'X' ni sawa na utawala wa 'Y' nilicho fananisha hapa ni uatawala na siyo 'X' na 'Y'. MUNGU MMOJA HAFANANI NA YOYOTE WALA CHOCHOTE, Lakini MUNGU MMOJA anaona,
je tutasema anafanana na viumbe sababu anaona?
HAPANA!
JE ANAFANANA NA MWALIM SABABU ANATOA MTIHANI NA MWALIM ANATOA MTIHANI?
HAPANA!!!
MUNGU WANGU NI MUNGU MMOJA 'ALLAH' NA NI MUWEZA WA YOTE!
Rudia tena maelezo hayo mafupi, taratibu tu utaelewa.Sasa kama anatoa mitiani kama mwalimu anakuwaje tofauti?
Unaamini mmandishi vitabu vilivyoandikwa Watu ambao hata babu wa babu yako hakuwahi kuwaona? Huo Ndio unaitwa ujinga.Unafahamu hawa wanasayansi nnje ya kazi nao wanaimani zao za kidini???
Kuna prove za kukuonesha kua Mungu yuko na ziko zimetajwa kwenye vitabu vitakatifu yaani Zaburi, Injiri, Torati na Qur-ani. Ukivisoma hivi utaelewa uwepo wa Muumba na utaelewa signs zipi zitakupa majibu hayo, lakini kutazama porojo mtandaoni au kufuata watu wachache utashindwa kujua maana, kwenye hivi vitabu vimeelezea kuanzia uumbaji, maisha yako hapa duniani na pia maisha ya baadae. Sisi wanadamu tu watukutu sana hilo ndio tatizo badala ya kutazama ili kujifunza sisi tunazama ili tukosoe, ila inampasa mtu mwenyewe na nafsi yake aamue kuusaka ukweli wa kuamini ambao yeye atauona sahihi, sababu hata tukija kisayansi watu hawajasoma hizi ni data tu za mtandaoni pengine hata njia gani tafiti ilifanyika hakuna anaefahamu, ukienda kwenye vitabu vitakatifu vipo visa vya watu waliojitolea kuelezea mauti yanavyokua na walikua wakielezea wakati wa kukata roho, unajua kwanini mtu akiwa anakata roho miguu ndio huanza kupoteza nguvu? Sababu roho huvutwa kupitia utosini pale panapodunda utotoni(kwann huwa panadunda kwanza science najua haina jibu) hutoka kuanzia miguuni kuja juu na hutolewa hatua kwa hatua ila Muumba anasema anapokea toba ya waje wake kasoro tu ikifika wakati wa roho kutoka(anapokea roho ikiwa mwilini), tuwe wenye kuifahamu njia ya haki mapema kwa uwezo wa Muumba wetu
Sasa kama anatoa mitiani kama mwalimu anakuwaje tofauti?
Unaamini mmandishi vitabu vilivyoandikwa Watu ambao hata babu wa babu yako hakuwahi kuwaona? Huo Ndio unaitwa ujinga.
Huu si ujinga mpaka ubainishe kosa liko wapi na huo ujinga uko wapi.
Tuendelee....
Wewe jamaa ni ngum
Hahaha!!! Kwahiyo anatoa na majibu lengo lake likiwa ni nini hasa? Kupima au kucheza gemu?..Mwalimu akikupa mtihani anakupa na majibu ?