Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Huyu kijana kwa kweli hana uwezo wa kushinda pambano lolote la ndondi kama kunakuwa na uamuzi wa haki , hajui kupigana , ni vema akatafuta cha kufanya kabla hajauawa ulingoni .
Leo kwenye Vitasa vya Azam kaokolewa na Refa Mlundwa bila sababu ya msingi .
Leo kwenye Vitasa vya Azam kaokolewa na Refa Mlundwa bila sababu ya msingi .