Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,414
Usichokijua ni kwamba hizi nchi ambazo zina umasikini wa akili takwimu ambazo huwa wanatoa ni geresha tu!All in all hadi sasa tz wagonjwa 6...
Tukubali tukatae huu ugonjwa kwa africa its not a big deal sema umekuja kutafuta kick tu za bure.
Ingelikuwa kwel huu ugonjwa unasambaa kwa kasi africa nadhan robo ya watu sasa hivi wangekuwa washapoteza maisha maana si mchezo kabisa unavyoua...