Trump anachotaka ni kuwaharibia viongozi wa sasa wa Republicans katika Senate na majimbo ili uchaguzi wa 2022 wajaze watu ambao wanamrengo mkali maana tweet zake zinaonekana kabisa hakitakii mema chamachake
Mkuu heri ungepumzika kupost hizo tweets, hakuna kinachoonekana 😂😂 Chezea tz wewe, mtu moja anafanya tweeter nzima ifungiwe, sijui akihamia insta na fb itakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.