Coronapocalypse

Sasa Ulaya baadhi ya supermarkets wameamua kufungua saa moja kabla ili kuruhusu wazee tu kufanya shopping
Maana wanaonewa sana kwa kweli
Kweli hawa watu wako mbele kwa kila kitu



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
halafu hii panic nahisi ni sisi wa mjini tu ambapo kwasasa kila mtu ni korona korona ilimradi kaongea, ila ndugu zangu wa vijijin uko wao habar wameskia lakini maisha yanaendelea bila panic yoyote
kwa mfano ivi wamasai ndani uko wanaweza kujadili hii kitu kwa ata lisaa😊😊😊
 
Wanao recover wanakuwa na 30% reduced lung function na wana gasp for breath hasa wanapotembea kwa kasi
Je! Hali Yao inaweza kurejea Kama ilivyokua awali?, Maana uingereza tumeona baadhi ya wanamichezo Kama vile Odoi na Kocha wa Arsenal vipi imekaaje hio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana corona imekuzwa na kutangazwa sana kulinganisha na Ebola ambayo ni hatari zaidi. Ila Ebola imebaki kama ugonjwa wa Africa. Ma celebrity wengi wamepata corona, ingekuwa hao ma celebrity wamepata Ebola sijui ingekuwaje !!!
 
Deal done wazungu washenz sana

kilicho akilini kitumie
 
Je! Hali Yao inaweza kurejea Kama ilivyokua awali?, Maana uingereza tumeona baadhi ya wanamichezo Kama vile Odoi na Kocha wa Arsenal vipi imekaaje hio.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtihani, kwa sababu korona inaathiri hadi mapafu mbali na mafua ambayo yanasababisha upper respiratory symptoms.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…