Corona Virus: Pray for Italy and Iran

Corona Virus: Pray for Italy and Iran

Reo = Leo?
Ungekua unajaza fomu ya kugombea ujumbe wa kijiji wangekukata kwa kigezo cha kutokujua kusoma na kuandika
Nikajua ana utaja mji wa huko Italy kwamba Reo Italy kumbe ana maanisha Leo ya leo tarehe 22..Goddamnit!
 
Huu ugonjwa unatisha, yawezekana Trump yupo sawa wachina walificha wakijua watadhibiti kimya kimya, wakaja kuta walishachelewa ugonjwa umesambaa sana. Ogopa ugonjwa ambao hakuna tiba.

Naskia tiba itapatikana baada ya miezi 18! Mmh
 
Muongeze na Spain naye anahitaji maombi makali kidogo ...atakayefuata nyayo ni New York City na California ni suala la muda tu 9dalili zote zinaonyesha watafuata mkondo wa Italy, Iran na Spain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Tuiombee Italy na Iran.

Mungu awanusuru raia wema wa Iran,Spain na Italy.
 
Hakuna popote hutolewa taarifa sahihi za vifo.
Hata china hakuna anaejua wale waathirika 20 elfu walikoenda.. Huenda waliuliwa...

So piga kimya.
Ungemwambia yule anayedai Iran pekee ndiyo waficha takwimu.. Kuniambia mimi ni uzezeta.
 
Usiende kwa proba nenda kiuhalisia uliopo.... Mwanzoni Iran na China wanachezea namba za juu ilikuwa uhalisia ila baada ya nchi nyingine kuwa na figures kubwa zaidi eti wanadanganya... Usishangae takwimu za Italy zikishuka tukaambiwa nao wanadanganya... Siwatetei Iran na wala mimi si muislamu lakini cheki takwimu hayo maudaku achana nayo... Hizi hapa za asubuhi hii..View attachment 1395606

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana
 
Back
Top Bottom