Corona ni dalili ya mwisho wa Dunia

Corona ni dalili ya mwisho wa Dunia

kofia ya plastiki

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2019
Posts
416
Reaction score
409
Wakuu ukisoma dalili za mwisho wa Dunia katika mathayo 24:7 tafsiri halisi angalia biblia ya king James vision, utakuta neno PESTILENCES >> ni magongwa ya milipuko ambayo inaambukiza wengi kwa muda mfupi na kuua wengi..

Matthew 24:7 For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Tahadhari ndugu yangu tumrudie Muumba

Tahadhari namba two kwa wale wakaidi Enzi za Nuhu ilikuwa hivi hivi watu aah Nuhu nae mara manyunyu mara mvua kubwa mara mito kujaa mara barabara..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ugonjwa wa corona unakuzwa na media mkuu acha KUPANIC.... Hiv umejiuliza is it practically possible nchi yenye watu 1.2billion, na inayoongoza kwa uchafu duniani na pia imepakana na china {india} inakua na case 60 then then nchi safi yenye watu mill 60 (itally) inakua na maelf ya wagonjwa??? Shida ya watu mnapenda sana kumissuse maandiko
 
Yaani nakufa hata sija play role yangu iliyonileta hapa duniani
 
Wakuu ukisoma dalili za mwisho wa Dunia katika mathayo 24:7 tafsiri halisi angalia biblia ya king James vision, utakuta neno PESTILENCES >>ni magongwa ya milipuko ambayo inaambukiza wengi kwa mda mfupi na kuua wengi.. Matthew 24:7 For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Tahadhari ndugu yangu tumrudie Muumba



Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa dunia!!

Kuna magonjwa kama Ndui, ukimwi, kupindupindu umeuwa watu wengi zaidi ya corona mbona dunia bado ipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ugonjwa wa corona unakuzwa na media mkuu acha KUPANIC.... Hiv umejiuliza is it practically possible nchi yenye watu 1.2billion, na inayoongoza kwa uchafu duniani na pia imepakana na china {india} inakua na case 60 then then nchi safi yenye watu mill 60 (itally) inakua na maelf ya wagonjwa??? Shida ya watu mnapenda sana kumissuse maandiko
Punguza woga mkuu, mwisho wa dunia ni kifo chako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna chance nzuri sana ya kujitolea kuchomwa sindano yenye virusi vya korona...mko tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ugonjwa wa corona unakuzwa na media mkuu acha KUPANIC.... Hiv umejiuliza is it practically possible nchi yenye watu 1.2billion, na inayoongoza kwa uchafu duniani na pia imepakana na china {india} inakua na case 60 then then nchi safi yenye watu mill 60 (itally) inakua na maelf ya wagonjwa??? Shida ya watu mnapenda sana kumissuse maandiko
Unajiita planett halafu hujui planet ilivyo usichanganye mambo
 
Back
Top Bottom