Corona hakuna nchini, lakini majirani zetu wanayo

Ugonjwa upo. Watu wanaugulia majumbani. Walioko mahospitalini ni wengi na taarifa hazitolewi. Mwenye kupona na apone. Mwenye kufa ni bahati mbaya. Tunategemea "herd immunity".
Jamaa acha uwongo kipindi cha CORONA tanzania inatrand ulishawahi udhuria HOSPTARI za SERIKALI.

Mkuu omba isirudi tena hali ile ilikuwa inatisha na kusikitisha mno.

Sababu hata madokta kwa manesi wenyewe walikuwa wanaogopana achilia mbali mgonjwa.

Sembuse now DOCTA anakupima marelia bila glovu achilia mbali kuvaa Mask
 
Chukua tahadhari ugonjwa uko tu katika mikoa mingi na Watanzania wanakufa kwa idadi kubwa tu.
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu....
 
Nchi ya kishenzi hii! Corona katika epidemiology ina tofauti gani na Malaria, TB and other infectious diseases, kuna siku itatangazwa kuwa hatuna malaria..... wakati tumezungukwa na malaria kwa majirani
Ndio na kwa sasa marelia hakuna kweli
Tumeipiga vita kwa asilimia zaidi ya 50
Ukipimwa marelia na MRDT ukakutwa nayo nenda mabara nyingne kapime na SCOPE uthibitishe

7bu sasa hivi BIASHARA imehamia kwenye U.T.I
Marelia sio dili tena mzeee ha ha ha
Deal town U.T.I
ukipimwa mkojo una U.T.I
ndo utajua hujui POWER SAFE zinakuhusu ukibadilishiwa GENTAMYCIN
 
Kweli kabisa. Ugonjwa upo, kikubwa kuzingatia maonyo ya wataalamu wa afya, kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.
Mbaya zaidi kwenye mikusanyiko ya lazima ndo watu wanapata corona.
 
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la kuweka matumaini makubwa katika dua na maombi na kuanza kulegeza taratibu zingine za kujikinga. Duniani wanaoathirika na Covid wengine ni wacha Mungu kuliko hata sisi na hatuna ubora wa kiimani kuliko wao.

Naamini ya kuwa mafanikio makubwa tuliyopata mwaka jana pamoja na hizo dua na maombi ni kuanza kuchukua hatua mapema kuhamasisha watu kwa kupitia njia mbalimbali.

Ugonjwa upo South Africa, Malawi, Kenya na Uganda achilia mbali Burundi na Rwanda na kwa mantiki hiyo ni suala la muda tu.

Serikali iendelee kutangaza kuwa hakuna Covid-19 lakini irudishe uhamasishaji wa kujikinga. Barakoa katika public places (hasa daladala) iwe lazima, vifaa vya kunawia mikono sehemu za biashara virudishwe, shule zote taratibu za awali ziwekewe mkazo.

Kwa kuwa ugoNjwa umeonyesha kuwa na athari kubwa kwa watu walio na magonjwa mengine (co morbidity kama kisukari, Pressure na HIV), kliniki za magonja haya ziwekewe utaratibu mzuri.

TANZANIA KORONA HAKUNA ILA KWA JIRANI IPO!
Mkuu,

Hapo sikubaliani na wewe wala mtu yeyote. Kuna watu kutoka nchi hizo unazodai kwamba COVID19 immendelea kusababisha madhara ila kwa dalili tofauti na kupewa jina la N501Y au B117

"....A new strain of the Covid-19 coronavirus has emerged in the UK which is spreading more quickly than previous strains. That suggests it is more contagious, but we don't know exactly how much more infectious it is. So it's particularly important to be strict about social distancing, wearing a face mask in enclosed spaces, and frequently washing your hands.
There is no evidence to suggest whether this strain is more deadly than before, or that if you have a heart condition, you're more likely to become seriously ill from this strain than from any other strain.......",

Mh Rais anasema Tanzania hakuna Corona ili watu wasijifungie ndani wakaacha kufanya kazi; kinachopelea kwenye matamko yake ni kutosisitiza kuchukua tahadhari kama inavyopendekezwa na wizara ya afya badala yake anahimiza kumwomba Mungu aendelee kuiepusha nchi na janga la ugonjwa huo huku kila mtu akiendelea kufanya kazi kuendeleza uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi pia.

Lakini kusema kwamba haupo sio sahihi, maana hata uchawi serikali inasema hakuna uchawi lakini watu ambao ndio waathirika wakiwemo viongozi wa kisiasi na wa dini wanakiri uchawi upo. Mungu na Manabii wanakiri uchawi puo kwa sababu shetani yupo.

Kila mtu atumie akili yake vizuri kujumlisha matamko ya kisiasa, imani na uhalisia kisha ajilinde; ndio maana huwezi kutegemea Mungu akakubariki wakati umekaa tu bila kujishughulisha kwa kutumia fursa za kujikomboa........
 
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la kuweka matumaini makubwa katika dua na maombi na kuanza kulegeza taratibu zingine za kujikinga. Duniani wanaoathirika na Covid wengine ni wacha Mungu kuliko hata sisi na hatuna ubora wa kiimani kuliko wao.

Naamini ya kuwa mafanikio makubwa tuliyopata mwaka jana pamoja na hizo dua na maombi ni kuanza kuchukua hatua mapema kuhamasisha watu kwa kupitia njia mbalimbali.

Ugonjwa upo South Africa, Malawi, Kenya na Uganda achilia mbali Burundi na Rwanda na kwa mantiki hiyo ni suala la muda tu.

Serikali iendelee kutangaza kuwa hakuna Covid-19 lakini irudishe uhamasishaji wa kujikinga. Barakoa katika public places (hasa daladala) iwe lazima, vifaa vya kunawia mikono sehemu za biashara virudishwe, shule zote taratibu za awali ziwekewe mkazo.

Kwa kuwa ugoNjwa umeonyesha kuwa na athari kubwa kwa watu walio na magonjwa mengine (co morbidity kama kisukari, Pressure na HIV), kliniki za magonja haya ziwekewe utaratibu mzuri.

TANZANIA KORONA HAKUNA ILA KWA JIRANI IPO!
Kama karibia wote wanaokuzunguka wanateseka nao ni Mpumbavu na Mwendawazimu tu pekee atakayeamini kuwa CORONA haipo 100% nchini.
 
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la kuweka matumaini makubwa katika dua na maombi na kuanza kulegeza taratibu zingine za kujikinga. Duniani wanaoathirika na Covid wengine ni wacha Mungu kuliko hata sisi na hatuna ubora wa kiimani kuliko wao.

Naamini ya kuwa mafanikio makubwa tuliyopata mwaka jana pamoja na hizo dua na maombi ni kuanza kuchukua hatua mapema kuhamasisha watu kwa kupitia njia mbalimbali.

Ugonjwa upo South Africa, Malawi, Kenya na Uganda achilia mbali Burundi na Rwanda na kwa mantiki hiyo ni suala la muda tu.

Serikali iendelee kutangaza kuwa hakuna Covid-19 lakini irudishe uhamasishaji wa kujikinga. Barakoa katika public places (hasa daladala) iwe lazima, vifaa vya kunawia mikono sehemu za biashara virudishwe, shule zote taratibu za awali ziwekewe mkazo.

Kwa kuwa ugoNjwa umeonyesha kuwa na athari kubwa kwa watu walio na magonjwa mengine (co morbidity kama kisukari, Pressure na HIV), kliniki za magonja haya ziwekewe utaratibu mzuri.

TANZANIA KORONA HAKUNA ILA KWA JIRANI IPO!
Umeliona tangazo hili linalozunguka mitandaoni?

Hello everyone in Dsm

Today is the 17th of January 2021

There has been an increase in admissions into health facilities in the past week

I would like to advise you to maintain precautions as follows:

1. Avoid unnecessary gatherings
2. Wear face masks in public places
3. Adhere to hand hygeine and social distancing practises

Thank you

Please share this message and bring about awareness.

Dr. Murtaza Shk. Ayman - Saifee Hospital DSM
 
Umeliona tangazo hili linalozunguka mitandaoni?

Hello everyone in Dsm

Today is the 17th of January 2021

There has been an increase in admissions into health facilities in the past week

I would like to advise you to maintain precautions as follows:

1. Avoid unnecessary gatherings
2. Wear face masks in public places
3. Adhere to hand hygeine and social distancing practises

Thank you

Please share this message and bring about awareness.

Dr. Murtaza Shk. Ayman - Saifee Hospital DSM
Mwenye jina,na institution wamelikana tangazo hilo!!
 
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la kuweka matumaini makubwa katika dua na maombi na kuanza kulegeza taratibu zingine za kujikinga. Duniani wanaoathirika na Covid wengine ni wacha Mungu kuliko hata sisi na hatuna ubora wa kiimani kuliko wao.

Naamini ya kuwa mafanikio makubwa tuliyopata mwaka jana pamoja na hizo dua na maombi ni kuanza kuchukua hatua mapema kuhamasisha watu kwa kupitia njia mbalimbali.

Ugonjwa upo South Africa, Malawi, Kenya na Uganda achilia mbali Burundi na Rwanda na kwa mantiki hiyo ni suala la muda tu.

Serikali iendelee kutangaza kuwa hakuna Covid-19 lakini irudishe uhamasishaji wa kujikinga. Barakoa katika public places (hasa daladala) iwe lazima, vifaa vya kunawia mikono sehemu za biashara virudishwe, shule zote taratibu za awali ziwekewe mkazo.

Kwa kuwa ugoNjwa umeonyesha kuwa na athari kubwa kwa watu walio na magonjwa mengine (co morbidity kama kisukari, Pressure na HIV), kliniki za magonja haya ziwekewe utaratibu mzuri.

TANZANIA KORONA HAKUNA ILA KWA JIRANI IPO!
Ugonjwa upo na utaendelea kuwepo tuchukue taadhari,
 
Umejuaje uchamungu wao au kwakuwa wanavaa majoho na kushinda mazahabuni?

Hujapata kusikia kisa cha IMAMU anakwenda MOTONI mlevi mnzinzi anaingia PEPONI

Ninachofahamu TANZANIA CORONA na AFRCA kwa ujumla tushaumwa na miili yetu imejijengea kinga madhubuti ya ugonjwa huo hvyo huo ugonjwa si tishio tena kwetu na kuna memba mmoja alielezea kwa kina hasa kwann tumeweza kuishinda CORONA sifa kwa kiasi zimuendee JPM japo alifanya hatua ya hatari kuacha usambae kwa kila mtu lakini matokeo yake ni bora kwa kila mtanzania anayependa Famiria yake na maisha yake.

Hvyo Pongezi zinakwenda kwake nyingi kwa kuzuia LOCKDOWN ambayo imekuwa tiba bora zaidi kwa kutuwezesha watanzania kujenga IMMUNE SYSTEM imala kabisa ya kuishinda CORONA.

CORONA si THREAT tena kwetu watanzania amini hivyo mkuu

Naandika haya mm nikiwa mmoja wapo wa tulioathirika na dalili zote za CORONA kati ya MARCH 2020 mpk JUNE 2020 nilipopona kabisa dalili zote za COROBA kwa kutumia mitishamba mbalimbali na PANADOL.
Baada ya kusoma IMALA nikajisemea huyu ni mtanzania mwenzangu kamili. Hongera kwa points nzuri mkuu.
 
Kwa upande wangu mimi cjawahi kumuona wala kumsikia mtu anayeumwa hyo corona so siamini juu ya corona.
 
Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la kuweka matumaini makubwa katika dua na maombi na kuanza kulegeza taratibu zingine za kujikinga. Duniani wanaoathirika na Covid wengine ni wacha Mungu kuliko hata sisi na hatuna ubora wa kiimani kuliko wao.

Naamini ya kuwa mafanikio makubwa tuliyopata mwaka jana pamoja na hizo dua na maombi ni kuanza kuchukua hatua mapema kuhamasisha watu kwa kupitia njia mbalimbali.

Ugonjwa upo South Africa, Malawi, Kenya na Uganda achilia mbali Burundi na Rwanda na kwa mantiki hiyo ni suala la muda tu.

Serikali iendelee kutangaza kuwa hakuna Covid-19 lakini irudishe uhamasishaji wa kujikinga. Barakoa katika public places (hasa daladala) iwe lazima, vifaa vya kunawia mikono sehemu za biashara virudishwe, shule zote taratibu za awali ziwekewe mkazo.

Kwa kuwa ugoNjwa umeonyesha kuwa na athari kubwa kwa watu walio na magonjwa mengine (co morbidity kama kisukari, Pressure na HIV), kliniki za magonja haya ziwekewe utaratibu mzuri.

TANZANIA KORONA HAKUNA ILA KWA JIRANI IPO!
Kama Corona hamna raisi MAGUFULI yupo wapi hayupo dodoma hayupo dar. Unakumbuka kipindi cha corona 1 alienda wapi na sasa yupo wapi??
 
Ukisoma mijadala inayohusu corona humu unaweza ukaamini corona ipo TZ kweli,ila ukichunguza kwa makini wanaosema ipo ni wale wale ambao Mende akiingia ndani ya nyumba Hawalali.#Waoga.
 
Hao majirani nao baadhi yao hushangaa kwanini kwao ndio iwe corona imepamba moto pamoja na kupambana nayo na mambo mengi kuzuiliwa kufanyika kwa sababu ya corona hadi kufanya maisha kuwa magumu ila Tz maisha yapo kama kawaida?

Juzi kati mzee mmoja mkenya alikuja Tz akawa analalamika jinsi maisha yalivyo sasa huko Kenya kwa sababu ya corona ila ukija Tz maisha yapo kawaida sasa anahoji hiyo corona ni corona ya aina gani ikasumbue Kenya ila hapa Tz isisumbue?
 
Magufuli nimemuona leo kwenye taarifa ya habari akisalimiana na watu kwa kushikana mikono na hata barakoa hajavaa.

Angekuwa muoga wa corona, sidhani kama angethubutu kufanya vile.
 
Back
Top Bottom