Recondition frm japan, imeingizwa nchini 2001, iko katika hali nzuri kabisa, inatembea, ac, redio vyote vinafanya kazi, bei milioni 3 hamna maelewano, sababu ya kuuza nataka nikomboe gari nyingine niliyoagiza, madalali hawatakiwi, 0654 633109
Recondition frm japan, imeingizwa nchini 2001, iko katika hali nzuri kabisa, inatembea, ac, redio vyote vinafanya kazi, bei milioni 3 hamna maelewano, sababu ya kuuza nataka nikomboe gari nyingine niliyoagiza, madalali hawatakiwi, 0654 633109
Recondition frm japan, imeingizwa nchini 2001, iko katika hali nzuri kabisa, inatembea, ac, redio vyote vinafanya kazi, bei milioni 3 hamna maelewano, sababu ya kuuza nataka nikomboe gari nyingine niliyoagiza, madalali hawatakiwi, 0654 633109
Recondition frm japan, imeingizwa nchini 2001, iko katika hali nzuri kabisa, inatembea, ac, redio vyote vinafanya kazi, bei milioni 3 hamna maelewano, sababu ya kuuza nataka nikomboe gari nyingine niliyoagiza, madalali hawatakiwi, 0654 633109
Nina mashaka na hiyo sababu na bei ya gari unalouza. Hamna sababu nyingine yoyote? Manake 2001 mpaka 2010 kunawezekana kukawa na sababu nyingine hapo......
Duuuuuuuuuuu hhhhhhhh kama uliingiza 2001 mpaka leo 2010 ukitoa hapo yaaani ni miaka kenda kamili. Kwa barabara za bongo na matumizi ya wamatumbi (poor maintenance culture), nakwambia hako kagari TZS 3000K ni nyingi sana. Labda nusu yake. Lakini umesema maongezi hakuna, lakini najua hiyo gari ikifika bandarini na zile storage charges na estimates za TRA nakwambia utakubali tu tuongee. subiri tu.
Uwezekano ni mkubwa kwamba ilo gari halitamaniki kuona picha; ndio maana jamaa hajaweka picha na unaambiwa bei ni fixed; aah! hiyo haiwezekani. Bora angeanza na M3.5 na aseme negotiations zipo labda mtu ungeshuka mpaka M3.0. Bongo biashara bila maelewano hakuna.