Coordinator wa SCOAN Tanzania

Neno la Mungu linasema makwazo hayana budi kuja lkn ole wake yeye atakayeyasababisha...
Alafu kazi ya Mungu ifanyike kwa upendo na si kwa malalamiko na manung'uniko, kama anaona hawezi bora aache kuliko kufanya kazi kwenye mazingira ya namna hii maana its as if bila yeye watu watakufa.
 
Ni neema ya Mungu yeye kuwa ktk position ya ukodineta, anachotakiwa kufanya ni kumwomba Mungu ampe upendo na hekima ya kutoa huduma. Awe mtumishi na sio atumikiwe, awe mnyenyekevu na aone hiyo ni chance ya yeye kuwa mtumishi mwaminifu wa Mungu. Vinginevyo itakuwa kama yuda aliyekaa na Yesu lkn hakupata kuokoka.
Tumwombee mama martha ili ktk huduma anayofanya daima upendo utawale
 

Mdugu yangu unazidi dhihirisha upeo wako mdogo Wa kufikiri na kuamua unaoufunika kwa matusi lukuki.@
Sielewi Sababu ya wewe kutetea mapungufu ya mtu badala ya kumshauri abadilike..@
##tafadhali jaribu kuzuia ujinga wako
## maana maandiko yanasema hata mpumbavu akinyamaza huonekana mwenye busara..##
...proverbs 17:28..(28 Even a fool, when he holdeth his peace, is counted wise: and he that shutteth his lips is esteemed a man of understanding...)
 


Praise the lord.
 
Japo siamini katika huu ujinga 'in the name of Mashiku, sorry jesus' lakini mkuu nimependa comment yako! Asante sana.

Mkuu Hamia jukwa la dini.
Kule ndio kuna size yako
Hapa sio mahali pake
 
Nafikiri njia bora zaidi ilikuwa ni kumwambia muhusika na sio kuja kulalamika humu jamvini. Pia mie nashindwa kuelewa kama ni kweli dada huyu anaweza fanya kama mnavyomlalamikiwa kwa sababu wisemen wangeshamwondoa kwenye hiyo nafasi.

Ms mashaba nina wasi wasi kubwa kama umesoma mtiriko mzima wa hii thread.
Utakuwa umetumia approacha ya uvivu wa wataanzani, umesoma heading, few comments ujaka kwenye last page.
It is not too late, fuatilia utapata majibu.
Mengine ni mtizamo wako, you are free,,
 
Last edited by a moderator:
Bob Lee Swagger: You could not do or write better than this!
Bravo!
Long life JF
 
Last edited by a moderator:
queeny: asante kwa ushuhuda huu, maaana wenzetu wengine wanatetea tu bila hata kuwa na uhakika.
 
Last edited by a moderator:

queeny Praise the lord!
 
Last edited by a moderator:
Tabby taratibu, taratibu, taratibu, punguza pafu hilo...
 
Last edited by a moderator:
Tabby taratibu, taratibu, taratibu, punguza pafu hilo...
Oh, My countrymen good day, Tena wote msipate kukereka wala msipate bughudhaa kifuani.....
Just achana na imani yenye majivuno na kiburi kinacho wasumbua. just karibuni sana Mwenyezzi Mungu "ALLAH"
yupo 24/7 utawsiliana naye direct bila kupitia KATIBU wala Mkurugenzi wa aiina yeyote... Wewe unaingia na kumSUJUDIYA basi. hakuna makubwa kabisa ombi lako litajibiwa "kesha kuahidi" Niombeni niwa jibu.
 
Tena mkuu ukitaka INSTANT and immediate Response, Baada ya kusujudu una nyanyua mikono viganja juu kumuomba.(kama vile ombaomba) Hapo M/mungu hufurahia Utiiifu wako.
Blessings kwa wote.
 
Mie nina hotline to SCOAN Lagos; ninawapigia sasa hivi kuelezea frustrations za watanzania kuhusu huyu Martha
 
Mie nina hotline to SCOAN Lagos; ninawapigia sasa hivi kuelezea frustrations za watanzania kuhusu huyu Martha
MTK tuwekee na sisi hiyo namba tutwange sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
Tulipoansisha hii thread tulishambuliwa kuwa ni wanafiki na tunamwonea wivu Martha kaaya HARVEY.

Huwezi kuamini, lakini hii thread imeleta mabadiliko makubwa sana. Naomba kuweka hapa sms kutoka kwa "martha"

Emmanuel! Tafadhali lipia gharama za safari ya SCOAN kisha wakilisha bank slips pamoja na forms za visa, picha mbili za passport size na passport yako kwenye office za SCAN coordinator. Deadline ni 3/6/2013.

This is just a humble message and no one can complain. Martha angekuwa anajibu hivi kila siku, hakuna hata mmtu mmoja ambaye angelalamika na haya yote yasingekuwepo. Tunashukuru sana wale waliompelekea habari, kwa maana amejirekebisha kwa kiasi kikubwa. zile Nyondo na dharau zimepungua sana.

Ila bado kuna jambo moja. Kuna fununu kwamba hiyo safari ni 7/6/2013. Tunaomba kama ni kweli, wale Vipenzi na sympathizers wa Martha, mwambieni atoe taarifa mapema, ili wasafiri waweze kuomba ruhusa makazini au wajipange kwa safari. Hadi sasa hivi ni kimya, watu watakurupushwa to 2-3 days before! Martha ajitahidi kueleza well in advance projection za safari, sio kufanya mipango kimya kimya kama unapeleka watoto wa sekondari wanaokaa bwenini!

Well stay tuned hadi mwisho wa hii movie

Praise the lord.

@nnodondo, Tabby, queeny, XXLIZ, MTK, Suzie, Mtambuzi
 
mkuu mleta mada unajua hata baibo inaposema usimwache elimu aende zake walimaanisha ;;;ni kweli baadhi ya watu wanamlalamikia huyu dada sipendi kuingia kwa undani ila kama mtumishi wa Mungu na ametumwa kwa ajili ya Mungu sidhan anaitaji kuacha kuuza maji yenye uwepo wa Mungu kwa maneno ya bnadamu....natumaini Mungu atamwongoza kubadilika na ni maombi yangu kwako na mimi tuzidi kuombeana lets love leads
 
kingine kwa kuwaasaidia tu Wapo watu wengi wanaenda scoan bila kuomba wala kuandika barua wanakuja lagos sasa kuepuka haya ulizia zaidi n hotel zipo za hadi dola 45 why 100?etc
 


Praise the Lord!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…