Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jun 13, 2012 #1 Hii ni nzuri zaidi kwani haiwezi kutuharibia tairi zetu...
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 13, 2012 #3 Bado haijazuia mtu kuisogeza bana...
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Jun 13, 2012 #4 Very creative. Nimekukubali mkuu. Kuna jamaa wananiusumbua kwenye parking yangu hapa town. Naenda kumPini sasa hivi.
Very creative. Nimekukubali mkuu. Kuna jamaa wananiusumbua kwenye parking yangu hapa town. Naenda kumPini sasa hivi.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,094 16,127 Jun 13, 2012 #6 hapo watu watatembea na mikasi ya kukatia nondo kwenye magari yao.
Makindi N JF-Expert Member Mar 14, 2008 1,066 173 Jun 13, 2012 #7 Kila mtu atatembea na mkasi------ na funguo mal**a.