Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,893
- 7,766
Mwenyekiti wa chama Cha Kijamii (CCK) Constantine Akitanda, Akihojiwa na Thom Chilala na akinukuu sheria ya vyama vya siasa amesema ni muhimu serekali iheshimu katiba na sheria za vyama kuepusha machafuko. Amesema baraza limeshindwa kuendesha vikao kwa kukosa fedha.
Kikao cha mwisho kilifanyika desemba kwa ufadhili wa UNDP.
Kikao cha mwisho kilifanyika desemba kwa ufadhili wa UNDP.