Relief
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 254
- 47
Nashindwa kuelewa kama kweli haya mabomu yanalipuka yenyewe or there is a conspiracy behind? Hivi macomrade inawaingia akilini kweli kwamba haya mabomu yanalipuka yenyewe tuu? Then where next, is it Lugalo, Kunduchi or,.....?
Na nini justification yake.
We should ask ourselves twice about this.
Last time yale ya Mbagala tukajulishwa ni accident tuu hivyo hali hiyo haitojirudia tena, yako wapi waliyoahidi sasa? Nani awajibishwe?
Wanajamii, naomba kuwasilisha.:bump:
Na nini justification yake.
We should ask ourselves twice about this.
Last time yale ya Mbagala tukajulishwa ni accident tuu hivyo hali hiyo haitojirudia tena, yako wapi waliyoahidi sasa? Nani awajibishwe?
Wanajamii, naomba kuwasilisha.:bump: