Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Habari wadau,
Je,unaikumbuka kampuni ya mawakili ya "IMMA"?
Kampuni hii ndio iliosajili kampuni ya Deep Green Finance inayotuhumiwa kuchota mabilioni kutoka BOT na kumuwezesha mkulu kuingia magogoni.
Kirefu cha IMMA ni,I inasimami Ishengoma,M inasimamia Masha,M nyingine Mujulizi na A-Advocates.
Baadae Mujulizi aliteuliwa kuwa Jaji na kuhusu Masha nafikiri unajua.
Sasa leo huyu jaji Mujulizi ndio anatakiwa kuwajibishwa na mamlaka yake ya uteuzi;je hii itawezekana?Tafakari.
Mbali na kutuhumiwa kuchota mabilioni kupitia Deep Green Finance,pia mtu aitwae Ridhiwan alienda kufanya mazoezi ya sheria(externship) katika kampuni hii ya IMMA.
Hio ni summary tu,ukitaka habari kamili tafuta gazeti la MAWIO la Alhamisi,Desemba 25-31,2014, kisha nenda ukurasa wa 4 utakutana na makala ya mwandishi Nyaronyo Kicheerem
Mujulizi in jaji kwa hilo jaji mkuu na tume ya mahakama inaweza kushughulika nae. Lakini huyu pia ni katibu wa. Tume ya kurekebisha sheria. Hapa Rais hana kizuizi cha kutengua uteuzi wake. Akiachwa hapo in hatari.
Ni Mtandao wa Kufa Mtu, kwa akiri za hakina Kibajaji (Mb) wa Dodoma na Shampa Mshama (Mb) wa Nkenge ambao kila jambo wao wanaliangalia kwa jicho la chuki za kisisa, si rahisi kuunganisha dot...Kumb: Kuunganisha Dot... ni kazi Pevu.
Hakuna lolote wala Chochote wizi na ufisadi mnono ktk nchi yetu hii unaenda Kimtanadao. Taifa hili hatuna sababu ya Kulalamika bali tujilahumu wenyewe kwani tumekubali kuendelea kuibiwa na kuwapigia makofi wezi.
Solution: Kura zetu 2015, ndizo zitaweza kulinusuru taifa hili, eti mtu kapewa 1.6b kwa kutoa ushauri wa kisheria,hivi hii ni sawa kweli si kila mtu angesoma sheria maana hiyo ndyo professional yenye utajiri.
CCM wameliuwa Taifa, Tuchukue hatua kulinusuru kwa njia ya kura za HAPANA kuanzania Katiba ya Chenge (Fisadi # 1) na pia tuseme NDIYO kwa UKAWA kwenye general election 2015, maana bila hivyo tutakuja kupigana muda si mrefu.
Hivi wale Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliochotewa na Ruge vipi?
jamani huyu jini mahaba anachangia mada gani?Hivi na wale Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliotajwa na kulamba kutoka kwa Ruge, Kanisa Katoliki linasemaje?
Maana Kikwete karusha hilo, halafu Kikwete kaniacha hoi, eti wachungaji sijui Mashehe, hili yeye hayumo. Kulikuwa kuna shehe pale? kwa vijembe hajambo.
Hivi na wale Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliotajwa na kulamba kutoka kwa Ruge, Kanisa Katoliki linasemaje?
Maana Kikwete karusha hilo, halafu Kikwete kaniacha hoi, eti wachungaji sijui Mashehe, hili yeye hayumo. Kulikuwa kuna shehe pale? kwa vijembe hajambo.
jamani huyu jini mahaba anachangia mada gani?
Hivi na wale Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliotajwa na kulamba kutoka kwa Ruge, Kanisa Katoliki linasemaje?
Maana Kikwete karusha hilo, halafu Kikwete kaniacha hoi, eti wachungaji sijui Mashehe, hili yeye hayumo. Kulikuwa kuna shehe pale? kwa vijembe hajambo.
Mujulizi in jaji kwa hilo jaji mkuu na tume ya mahakama inaweza kushughulika nae. Lakini huyu pia ni katibu wa. Tume ya kurekebisha sheria. Hapa Rais hana kizuizi cha kutengua uteuzi wake. Akiachwa hapo in hatari.
jamani huyu jini mahaba anachangia mada gani?