Congo Rebellion: Clinton Defends Kagame

Congo Rebellion: Clinton Defends Kagame

Mungu atupe maisha marefu na kagame adumu zaidi ili siku moja ashuhudie watakachomfanya wamarekani hawana ndugu wala rafiki wa kudumu.
 
Interesting article. Kumbe behind all this fracas ni kua kuna kavita baridi kati ya US na France. I wonder sisi tupo upande gani huko DRC au tunaenda tu headlessly. I felt something was off kwasababu sikujua kwanini Mr. Skeleton anaezaje kutunisha misuli nchi kama Tz kumbe sasa hapanshaka huenda yuko kwene speed dial ya Kerry au Obama himself. JK na PK inabidi wajue kua nchi za kibeberu hua hazina marafiki wa kudumu na watambue ndovu wanapopambana ziumiazo ni nyika na hapa ndovu ni France na US.
 
Mnaacha kujadili katiba mpya, mnajadili kagame...wabongo ni zero.

Mkuu ndio uwezo wetu wa kufikiri sisi waTz unaisia hapo. Kinachotuangusha ni upumbav uliojaa humu vichwani mwetu...
 
Back
Top Bottom